Usije ukasoma kwa kuwafatisha wanasiasa , idadi ya walimu wa Kiswahili hawajapewa nafasi na history na civics na Geography .Kwenye vyombo vya habari viongozi mbalimbali wamekua wakisifia kiswahili yakua sasa kinafundishwa nchi za mbalimbali marekani hata uchina.
Ona hapa kwenye tangazo la ajira la tamisemi kiingereza ndo kimepewa kipaumbele kiswahili hata kidogoView attachment 2586003