Ni kweli nyoka huwa wanajiunga baada ya kuuawa?

Ni kweli nyoka huwa wanajiunga baada ya kuuawa?

Habari za muda huu wana JF?

Leo katika pitapita zangu kuna sehemu nimekuta kuna nyoka ameuliwa.
Lakini kilichonifikirisha ni baada ya kuuliwa walimkata kichwa alafu wakakifukia na kiwili wili wakaenda kukitupa barabarani

Sababu kuu ni kufanya asijiunge
Sasa kwa wenye uelewa naomba kuuliza ni kweli nyoka huwa wanajiunga au ni imani za watu??View attachment 2141218
Mapokeo tu! Kiumbe chochote kikishakufa, kimekufa! Tuliaminishwa tu hivyo, na Sio kweli...
 
Wanasema Kama haujamkata mwenzie akija anampa dawa anapona.
Mambo ya imani za wazee wetu.uenda ikawa kweli au kamba Mungu mwenyewe anajua zaid
 
ukisema mungu hayupo Basi hata wewe HAUPO.
Ni stori za wazee wetu kama tunavyoambiwa leo hi eti mungu yupo na watu wanakubali!
Miaka ya mbeleni huko vitukuu wetu watakuwa wanatuona sisi wazee wao watu wa ajabu kwa kuamini eti mungu yupo.
 
Ni stori za wazee wetu kama tunavyoambiwa leo hi eti mungu yupo na watu wanakubali!
Miaka ya mbeleni huko vitukuu wetu watakuwa wanatuona sisi wazee wao watu wa ajabu kwa kuamini eti mungu yupo.
Kipi ni uthibisho kwamba hayupo
 
Habari za muda huu wana JF?

Leo katika pitapita zangu kuna sehemu nimekuta kuna nyoka ameuliwa.
Lakini kilichonifikirisha ni baada ya kuuliwa walimkata kichwa alafu wakakifukia na kiwili wili wakaenda kukitupa barabarani

Sababu kuu ni kufanya asijiunge
Sasa kwa wenye uelewa naomba kuuliza ni kweli nyoka huwa wanajiunga au ni imani za watu??View attachment 2141218
Ni imani tu za kijinga, nyoka hajiungi.
 
Huyu hapa alijiunga kama mara mbili hv
IMG_20220222_141206.jpg
 
Me nachokijua walikifukia kichwa sababu bado kingekuwa na uwezo wa kuuma. Hii nimethibitisha baada ya kuona samaki aina ya kamongo kutenganishwa kichwa na kiwiliwili lakini kichwa kilikuwa kinauma kisu kiasi cha kuogepesha. Swala la nyoka kujunga ni story za wahenga
Na huu ndio ukweli wenyewe,kichwa cha nyoka bado kinakuwa na uwezo wa kujeruhi hata kama mwili wake unaonesha kila dalili ya kupoteza uhai.

Hatua ya kwanza ni kutenganisha kichwa na mwili kwanza kukipunguzia uwezo wa kuendelea kushambulia.
 
Habari za muda huu wana JF?

Leo katika pitapita zangu kuna sehemu nimekuta kuna nyoka ameuliwa.
Lakini kilichonifikirisha ni baada ya kuuliwa walimkata kichwa alafu wakakifukia na kiwili wili wakaenda kukitupa barabarani

Sababu kuu ni kufanya asijiunge
Sasa kwa wenye uelewa naomba kuuliza ni kweli nyoka huwa wanajiunga au ni imani za watu??View attachment 2141218
Una umri gani unatuletea story za utotoni!!??
 
Ulikuwa ni mbinu za kiusalama tu uliotafsiriwa vibaya. Nyoka ni kiumbe hatari ambaye ukimuangamiza unatakiwa uhakikishe kabisa ametokomea kabisa. Ndo maana wakashauri akatwe kichwa ili mtu asije akaja kanyaga meno bahati mbaya. Pili nyoka ana mifupa ambayo watu huamini ina sumu pia. Sasa waanashauri akakatwe aangamie kabisa na afukiwe kuepusha athari za mifupa yake.
 
kuna kitu inside kinafikirisha....kwanini nyoka hutumiwa sana kwenye alama za TIBA....hata kwenye hospitali na baadhi ya taasisi za afya.....nembo nyingi zina image ya nyoka.....sina uhakika watafiti wa nyoka wanasema, kama alivyotangua mchangiaji mmoja..(nyoka hufuatana)...nyoka wa kabila (aina fulani), wakiwa wanapigana na mmoja kumjeruhi mwenzake akawa mahututi....hukimbia kuleta dawa na akisha mpaka hurejea katika hali ya awali, na ndondi zinaendelea........kumbuka nyuka wanakulana......but humla wa kabila tofauti na lake....
 
waswahili bwana unafukia kichwa unaacha mwili mfupa wa nyoka ukikuchoma ni sumu pia Kama alivo meno yake
 
Back
Top Bottom