Hatumshangai huyo nepi mbona hamtambui hata baba yake mzazi ?Atuambie lini alienda kumuona Profesa huko India anakougulia?
hi hi unataka kusema anatukana kwa sababu ana hasira babake ''mzazi'' kuwa poisoned hivyo anataka kukichafua chama au unamaanisha nini hapa?