Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,512
Utoto raha sana. Mnakaa mnasimuliana stories za kitoto. Inasemekana,inasemekana nyingi. But hata kutumia tu common sense hamtaki. Ujinga tu wa hovyo hovyo
Wengine hudai Michael Jackson na Goodluck Jonathan ni clones.Wengine wana mashaka na Kabudi na yule mwenye degree 4.
Naamini 100%Hata mimi nina mashaka na huyu Lipumba nahisi original aliibwa na wazungu wakatuletea huyu zuzu.
Acheni utoto.Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.
Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.
Nani aliyetolewa gerezani 1990?
Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.
Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.
Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?
MwananyamalaPlastic surgery ya Polepole ilifanyikia wapi? Huyu si yule Polepole wa tume ya Warioba.
Kama sehemu za Siri aliezifahamu alikuwa Winnie tu hao wengine mwisho wao nje tu. Kama ndivyo basi ilikuwa sawa kumtaliki Winnie mapema sanaTeknolojia inayohusu kumzuia Winnie tu asigundue kuwa kuna Nelson Mandela fake lakini wote aliosoma nao, aliofungwa nao, aliofanyanao kazi, dada zake, watoto wake etc isiwaguse? Dhana hiyo ni zaidi ya wehu.
LumumbaPlastic surgery ya Polepole ilifanyikia wapi? Huyu si yule Polepole wa tume ya Warioba.
hivi plastic surgery yaweza kufanyika kwenye ubongo?Plastic surgery ya Polepole ilifanyikia wapi? Huyu si yule Polepole wa tume ya Warioba.
Mambo ya ndoa hayako kama unavyofikiriHili jambo ni fikirishi sana kwasababu misimamo na hoja aliyokuwa nayo Mandela wa kabla ya kufungwa na baada ya kutoka gerezani ni tofauti kabisa.
Pia swala la kumtaliki Winnie kwa hoja dhaifu aliyoitoa Mandela nayo ina ukakasi. Si Mandela yule aliyehamasisha umoja wa kitaifa na maridhiano kati ya makabira ya wanakusini katika kupambana na mkaburu kutoa taraka kwa Winnie bila ya kusikiliza ushauri kutoka kwa wazee na marafiki zake wa karibu.
Hata mimi nina mashaka na huyu Lipumba nahisi original aliibwa na wazungu wakatuletea huyu zuzu.
Plastic surgery ya Polepole ilifanyikia wapi? Huyu si yule Polepole wa tume ya Warioba.