Ni kweli Muhammad aliwahi kulogwa?

Ni kweli Muhammad aliwahi kulogwa?

󱡓󱥊󱥆󱎎91...(14).webp
 
Nimemsikia Babu Tale akisema Mtume Muhammad aliwahi kulogwa

Inawezekanaje mtume wa mwenyezi mungu analogwa kama kweli uchawi upo ?
Alidai mwenyewe anahisi kuchezewa na mashetani, sasa sijui ndo kulogwa kwenyewe?...
 
Kutoka maktaba
Ndiyo, katika vyanzovya Hadithi Sahihi (kama vile Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim), imesimuliwa na mke wa Mtume, Aisha (r.a), kwamba Mtume Muhammad ﷺ aliwahi kufanyiwa uchawi na mtu aitwaye Labid bin al-A'aswam kutoka kabila la Bani Zuraiq
Nani alimuagua?
 
Alipewa busha??

btw unafahamu kwamba kwa muslims wa pwani kuwa na busha ni sifa? sifahamu kama (busha) inahusiano na islam au ni utamaduni tu wa watu wa pwani lkn najua kwamba wenye mabusha na kusifiwa wote ni muslims ...
 
btw unafahamu kwamba kwa muslims wa pwani kuwa na busha ni sifa? sifahamu kama (busha) inahusiano na islam au ni utamaduni tu wa watu wa pwani lkn najua kwamba wenye mabusha na kusifiwa wote ni muslims ...
Nitafahamu vipi mkuu mimi natokea Kanda ya Ziwa
 
Nani alimuagua?
Kutoka maktaba;
Kupona kwa Mtume: Mwenyezi Mungu alimuongoza kupitia Malaika Jibril ambaye alimjuza mahali kilipofichwa kitu kilichotumiwa kufanya uchawi huo (kisima cha Zirwan), na Mtume aliamuru kitolewe, kisha akapona kabisa baada ya kusomewa au kushushwa kwa Surah al-Falaq na an-Nas (Al-Mu'awwidhatayn).
 
Back
Top Bottom