Ni kweli, mchekeshaji Said Said kashambuliwa sio kiki

Ni kweli, mchekeshaji Said Said kashambuliwa sio kiki

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
3,007
Reaction score
6,993
Tangu jana usiku iliibuka tafrani juu ya comedian said said, kuwa alishambuliwa na mtu na Yuko hospitalini inasemekana damu zilivuja sana, watu walidhani ni kiki ila picha zimevuja na gari yake imeshambuliwa vioo, mpaka sasa hajasema chanzo ni nini
SaveClip.App_768568115_18085402628662574_6270110293959104435_n.jpg
SaveClip.App_770985563_18085402631662574_3739981087134702109_n.jpg
 
Huyo hayupo kisiasa wanamambo Yao tu, kama si mademu, basi inshu za vibaka, kinacho nishangaza hakuna mtu ambae amechukuliwa HATUa mpaka saa hii, naye watu wanasubiri azungumze lakini ameomba apumzike kwanza sababu kashonwa nyuzi.
 
Huyo hayupo kisiasa wanamambo Yao tu, kama si mademu, basi inshu za vibaka, kinacho nishangaza hakuna mtu ambae amechukuliwa HATUa mpaka saa hii, naye watu wanasubiri azungumze lakini ameomba apumzike kwanza sababu kashonwa nyuzi.
Tatizo hata pale polisi wanapokaribia kuwakamata wahusika, basi chadema huwaficha Ili ionekane serikali haifanyi kazi. Hilo ndilo tatizo.
 
Back
Top Bottom