Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,535
- 11,398
Makonda anapaswa kuwa makini sana, kuna watu wengi ndani ya CCM wanaomchukia na wenye kisasi nae hivyo anapaswa kuwa makini sana, kimsingi uteuzi wake ameletwa atumike kama dekio tu wakati huu wa CCM legelege yenye matobo pia, ndani ya ukanda, uzenji na ubara, udini, umagufuli na usamia.
Makonda amepagawa ni mtu alokuwa amekata tamaa, ameenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli analia kindezi ndezi, kaenda kumzika sijui dagaa gani wa CCM analia style ya kubweka bweka hadi kuna Mzee alokuwa nyuma yake akawa anashangaa anatamani amchane vibao.
Makonda aende kwa steps amekuja na kiki za kishamba na za kitoto kujifanya yupo kundi la wanyonge.
Awe makini ajue yeye ni dekio la muda tu
Makonda amepagawa ni mtu alokuwa amekata tamaa, ameenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli analia kindezi ndezi, kaenda kumzika sijui dagaa gani wa CCM analia style ya kubweka bweka hadi kuna Mzee alokuwa nyuma yake akawa anashangaa anatamani amchane vibao.
Makonda aende kwa steps amekuja na kiki za kishamba na za kitoto kujifanya yupo kundi la wanyonge.
Awe makini ajue yeye ni dekio la muda tu