Ni kweli Makonda anatumiwa kuwapoza wasukuma ili kupunguza makali ya 2025?

Makonda anapaswa kuwa makini sana, kuna watu wengi ndani ya CCM wanaomchukia na wenye kisasi nae hivyo anapaswa kuwa makini sana, kimsingi uteuzi wake ameletwa atumike kama dekio tu wakati huu wa CCM legelege yenye matobo pia, ndani ya ukanda, uzenji na ubara, udini, umagufuli na usamia.

Makonda amepagawa ni mtu alokuwa amekata tamaa, ameenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli analia kindezi ndezi, kaenda kumzika sijui dagaa gani wa CCM analia style ya kubweka bweka hadi kuna Mzee alokuwa nyuma yake akawa anashangaa anatamani amchane vibao.

Makonda aende kwa steps amekuja na kiki za kishamba na za kitoto kujifanya yupo kundi la wanyonge.

Awe makini ajue yeye ni dekio la muda tu
 
Makonda anapaswa kuwa makini sana, kuna watu wengi ndani ya CCM wanaomchukia na wenye kisasi nae hivyo anapaswa kuwa makini sana, kimsingi uteuzi wake ameletwa atumike kama dekio tu wakati huu wa CCM legelege yenye matobo pia, ndani ya ukanda, uzenji na ubara, udini, umagufuli na usamia.

Makonda amepagawa ni mtu alokuwa amekata tamaa, ameenda kuhiji kwenye kaburi la Magufuli analia kindezi ndezi, kaenda kumzika sijui dagaa gani wa CCM analia style ya kubweka bweka hadi kuna Mzee alokuwa nyuma yake akawa anashangaa anatamani amchane vibao.

Makonda aende kwa steps amekuja na kiki za kishamba na za kitoto kujifanya yupo kundi la wanyonge.

Awe makini ajue yeye ni dekio la muda tu
Mods wa JF wengi sasa hivi ni machawa wa watu, emotionally they are like women sijui wanawaza nini, hopefully ni very young na wana deficiency ya content and language use exposure,
 
Naona makonda anatema cheche Kama za magu, kaja na Moto Kama alivyopewa mkoa wa dar.
 
Namnukuu member wa Jf Glenn katika moja ya comment yake namnukuu

"Ukweli mchungu Msoga wenye nchi kamwe hawataki hata kumsikia Makonda. Pia Kinana na Makonda haziivi hata chembe"

NOTE:
Ikumbukwe kuwa CCM jambo lao kuu kuliko yote ni kubaki kuwa Chama Bola chama Tawala iwe kwa namna yeyote Ile ila muhimu kiwepo madarakani.

hata Kama ikimuona Mtu flani wa chama fulani ni muhimu kwao ili chama kitimize dhamira yake itafanya chochote apatikane.

"CCM haiwatupi watu wake huwa ni suala la muda tu. Upepo ukitulia wanarudishwa."
Kanda ya ziwa siyo wasukuma tu. Mkabila mkubwa wewe
 
kwani Mwanza ni ya wasukuma tu kumbuka Mwanza na kanda ya ziwa ina makabila mengi mno, hivyo usipotoshe kuna wakurya,wahaya wanyamwezi, wajita, wakerewe na hata wangoni na wachaga kwa mjini. ni mchanganyiko mno hivyo kutuhumu wasukuma pekee kwa kanda ya ziwa ni upeo mdogo wa kufikiri. Uwingi wa watu Mwanza kwa ujumla wake ndiyo nguzo ya CCM kanda ya ziwa. wapinzani wanashindwa kuitumia vyema kete hiyo.
Haya unayo andika hapa wewe usidhani ni mtu wa kwanza kuyatambua, na wala siyo jambo la kipekee ulilo liibua wewe hapa.
Hoja husika hapa ni hilo lengo la uteuzi wa kijinga kwa sababu za kipuuzi zinazolenga kuhadaa hao wanaoitwa wasukuma.
Hivi wewe unaishi kwenye pango lipi, hata hujawahi kusikia uwepo wa genge lililopachikwa jina la "Sukuma Gang"!

Unajaribu kubadili mjadala hapa kwa ujinga kama huo ulio weka wewe hapa?
 
wajita, wakerewe na hata wangoni na wachaga kwa mjini. ni mchanganyiko mno hivyo kutuhumu wasukuma pekee kwa kanda ya ziwa ni upeo mdogo wa kufikiri. Uwingi wa watu Mwanza kwa ujumla wake ndiyo nguzo ya CCM kanda ya ziwa. wapinzani wanashindwa kuitumia vyema kete hiyo
Kwa ujumla, wewe unayo mawazo duni sana.
Hujui kuwa wapinzani (CHADEMA) wameteka kwa miaka kadhaa maeneo mengi ya Kanda hiyo, pamoja na uwepo wa matumizi ya nguvu wanayo fanya CCM? Hujui Ukerewe ni ngome ya CHADEMA kwa miaka kadhaa? Hapo Mwanza mjini hujui CHADEMA wanao mtaji mkubwa? Maeneo yote ya kanda hiyo ya ziwa kama siyo matumizi ya nguvu CCM hawawezi kushinda.
Halafu leo unakuja hapa na kudai CCM wana "nguzo" huko! Nguzo gani unaizungumzia wewe?
 
Back
Top Bottom