Nenda kwenye branch ya CRDB ukaulize, utapata majibu yenye usahihi kushinda hapa kijiweniHili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vzr.
CRDB anataka wateja mkuu. Ukicheka na nyani utavuna mabua, ki biashara yupo sahihi hutaki acha kakope ulipo na accountHiki wanachokileta CRDB ni kilio kwa wateja wao, haiwezekni ulazimeshe mkopo upitie CRDB. Ni aibu sana
Si kweli. Kachukue tu rafiki mpunga.Hili suala nimelisikia sehemu ndugu zangu wanajamii forum kwa mnaojua ukweli wa suala hili Basi mtujuze tusiojua vzr.
Huo ni udikteta uchwara, sasa kila benk ikifanya hivyo hali itakuwaje? Bure kabisaCRDB anataka wateja mkuu. Ukicheka na nyani utavuna mabua, ki biashara yupo sahihi hutaki acha kakopa ulipo na account
Kila BANK 🏦 ina mbinu zake kibiashara na ndio maana kila bank ina uwezo wake ki pesa zote hazina uwezo sawaHuo ni udikteta uchwara, sasa kila benk ikifanya hivyo hali itakuwaje? Bure kabisa
Kuwa na utaratibu wake hakuondoi ubatili katika hizo taratibu zaoKila BANK 🏦 ina mbinu zake kibiashara na ndio maana kila bank ina uwezo wake ki pesa zote hazina uwezo sawa
Hakuna ubatili, jambo linafanyika public, serikali inajua wakopaji wanajua, hutaki kukizi vigezo na masharti yao achaaaKuwa na utaratibu wake hakuondoi ubatili katika hizo taratibu zao
Benki zote zinafanya hivyo na hali ni shwari watu wanakopa kama kawaida.Huo ni udikteta uchwara, sasa kila benk ikifanya hivyo hali itakuwaje? Bure kabisa
Sio kweli.Benki zote zinafanya hivyo na hali ni shwari watu wanakopa kama kawaida.
Sio kweli nini sasa?!Benki gani hiyo ambayo inafanya hivyo? Kama unakopa kupitia mshahara lazima mshahara upitie benki husika.Sio kweli.
Benki nyingi zinatoa option ya kufungua akaunti kwenye benki unayotaka kuchukua mkopo na sio kupitisha mshahara wako.
kuna taasisi hujichagulii banki ya kupitishia mshahara.CRDB anataka wateja mkuu. Ukicheka na nyani utavuna mabua, ki biashara yupo sahihi hutaki acha kakope ulipo na account
Upo sahihi, kila bank ina mashart na vigezo vyake pia naamini bank kubwa kama CRDB wana idara ya tafiti na maendeleo hili itakuwa wameisha lifanyia kazi na wamekuja hivyokuna taasisi hujichagulii banki ya kupitishia mshahara.
halafu mbona kama ndio target yao hii haiathiriki na mshahara kupitia kwingine.zaidi wanajikosesha kibiashara,mabenki kibao yanakopesha kwa sasa wala kigezo hicho sio sababu.
Ulishawahi kukopa bank au na wewe unasikia hivyo?Hakuna bank itakupa mkopo kama mshahara haupiti kwao