Ni kweli kila mwenye pesa ana akili?

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
May 15, 2009
7,320
6,806
Hii inanishangaza jamani pita pita kwenye jamii zetu mbalimbali utakuta katika kikundi cha mazungumzo (bar ndiyo zaidi) jambo lolote linalo zungumzwa na mwenye pesa watu wanalisikiliza kwa makini na kuliona pointi kubwa huku wengine wakitikisa vichwa kuonyesha kuwa wanakubali anachosema hata kabla hajaanza kuzungumza!
Asiekuwa na kitu hata aongee mambo ya msingi namna gani hasikilizwi, anaonekana hana pointi kabisa.....
Jamani hii ni kasumba, au nini hasa kinatusumbua?
 
Money is power. Hii si kwa watu tu bali hata kimataifa. Mataifa tajiri kv marekani yana "nguvu ya hoja" hata kama yanaongea pumba. Na yale mataifa maskini hata kama yana pointi daima yanaongea kitu kisicho na mshiko. Nguvu ya pesa ina-determine decision making. Hivo hivo katika level ya individuals. Mwenye pesa ndiye anaendesha maamuzi na mijadala hata kama kiakili hayuko sawa sana. Ni mfumo ndo wenye matatizo.
 
Hata mimi huwa nashangaa kuona watu wananisikilizaga sana hata kama siongei point.
Nadhani sisi wenye pesa huwa tunajengewa nizamu ya uoga. Ofcoz tuna akili sana.
 
Hata mimi huwa nashangaa kuona watu wananisikilizaga sana hata kama siongei point.
Nadhani sisi wenye pesa huwa tunajengewa nizamu ya uoga. Ofcoz tuna akili sana.

Kumbe mkuu unazo kiasi hicho!!!!! hongera sana!
Lakini sasa ukiona unasikilizwa hata kwa pumba zako usizi-zidishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom