Makande 26
Senior Member
- Jul 23, 2019
- 113
- 97
Wadau ni kiki inampa mtu nafasi kwenye game au ni ubora wake na kipaji alichonacho ndo vinamboost
Inategemeana na aina ya game mkuu, kwa mfano game la nyoka halihitaji sana kiki, hata game la draft halihitaji kiki sana labda game la race la pikipiki hapo bila kiki lazma uwe wa mwishoWadau ni kiki inampa mtu nafasi kwenye game au ni ubora wake na kipaji alichonacho ndo vinamboost