Kwamba sina haki ya kuambiwa yanayoendelea kwenye familiaWewe ni Harmful tayari😂😂 kaa kwa kutulia..
Wewe endelea kuhang apo kwanza😂Kwamba sina haki ya kuambiwa yanayoendelea kwenye familia
Nimelia sana ðŸ˜ðŸ˜…
Sijui kwanini wanyalu wanakanusha sana.Wamewahi kuwa wala mbwa; tribal peer pressure imewabadilisha. Waliacha baada ya kuwa wanataniwa na kuchekwa na makabila mengine.
Hata Wanyiramba zamani walikuwa wanakula punda. Nao tribal peer pressure iliwabadilisha!
Alafu uwe na pilipili ya kusaga na limao pembenRaha ya nyama ya Mbwa uifanye mishikaki.
Na Pepsi baridiii,unakua unahisi Dunia yote ni yako.Alafu uwe na pilipili ya kusaga na limao pemben
Kihesa ile barabara ya kwenda mtera kulikuwa na bar moja inaitwa facebookKihesa sehemu gani!!?
Maana Kuna wale wahehe wa kule kihesa kwa semtema wanapenda sana kufuga mbwa
Hahaha kuna jamaa alikuwa anauzaga nyamaporiSio mbwa hadi nyani tunakula..!!
Hizi mila ni shida sana na mara nyingi ni kichaka cha kufichia ignorance!Sijui kwanini wanyalu wanakanusha sana.
Mbona hakuna shidoooo?
Hivi ukimwangalia pweza alivyo au kasa, si afadhali kula mbwa kuliko kula pweza na kasa?
Vipi wanaokula konokono na popo? Je wanaokula nyani kule umatengoni? Kwanini uone aibu kula mbwa? Mbwa piavwanali2a DRC na mashariki ya mbali pia.
Una tenda ya mbwa wangapi unao tukuungishe kwa ajili ya supuNini
Samaki nchangaNiliwahi kuuliza nikaambiwa kuna aina ya maharage wanayaita dogidogi. Hivyo sio mbwa bali ni mabean.
Hahaha!Samaki nchanga
Umempigia kujiridhisha?Aisee
Kasemaje ulivyompigia?Ngoja nimpigie mi Thomaso
Nimelisikia hili mara kadhaaNiliwahi kuuliza nikaambiwa kuna aina ya maharage wanayaita dogidogi. Hivyo sio mbwa bali ni mabean.
🤣🤣 Sasa mkuu tuko pamoja.Hizi mila ni shida sana na mara nyingi ni kichaka cha kufichia ignorance!
Kuna vitu vingi very nutritious ambavyo kabila fulani wanakuwa hawavili kwasababu za kimila. Mimi nimekataa kufungwa na hizo mila; niko tayari kula kitu chochote ambacho watu wengine elsewhere wanakula na hawadhuriki.
Nimelisikia hili mara kadhaa
Kumbe nawe umelisikia hili mkuu.Nimelisikia hili mara kadhaa
mnakula mbwa tanzaniaNingependa kujua kama kweli iringa wanakula mbwa maana naskia , iringa nyama bei rahisi kg 1 ya nyama ni elfu 2
Watu wa Iringa nipeni majibu.