Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,540
- 31,607
Shindwaa!!si ulisema alipo Upo 😅
Shindwaa!!si ulisema alipo Upo 😅
Nimepanga nimchangie dosho12 NAULI ya Kigali mbona unaleta mazingzong tena 😁Shindwaa!!
Mjusi mwisho wake hua ni kula wadudu tu.Aiseeeee! Dunia imevaa sketa, ole wako nikukute sikumoja umeipanga jikoni barabarani ukanilisha, utakuwa ndiyo mwisho wako mazima.
Kwako au kwa dosho12 😅Shemeji yako kuwa na adabu😅
Swal la mtego eeh 😅Wote tu🫢
Namana hujaelewa maana ya hiyo Sharo mwishoni, maana yake ni Mjusi smart mla nyama safi, kuku, bata, chukizo la mashekhe n.k na siyo jibwa plus.Mjusi mwisho wake hua ni kula wadudu tu.
Kihesa sehemu gani!!?Sio kweli nimekaa na wahehe wakina mwagito pale kihesa hawali mbwa ni utani
ila wanapenda sana nyama na ni wachoyo wa nyama na ni wavivu wa kufaga wanyama!
Kumbe nilikuwa ndotoni😅😂😂😂 Amka kumekucha
Mhh kwani nini ni nini 😅Deep down u wanna touch an electric wire and see if it works right?😂
Nini ni nini kwani hhm??😅Mhh kwani nini ni nini 😅
Namsubir kaka dosho12 anipe ukweliNini ni nini kwani hhm??😅