edward93
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 565
- 1,358
Habari za mchana wakuu!
Ni kweli dunia imekua ikishuhudia kuibuka kwa viruses tofauti tofauti ambao husababisha vifo vya watu wengi!
Now dunia nzima inatikiswa na ugonjwa wa Covid-19, sidhiaki ugonjwa huu kabsa ila nnachojiuliza kwann kirusi huyu amerise tension na panic kubwa sana kuliko magonjwa mengne ambayo yamewahi kuikumba dunia na kusababisha vifo vingi zaidi na viruses wake walikua complicated zaidi?
2003 Sars virus alisababisha mortality rate ya 10% na kusambaa kwenye nchi 26 dunia kote.
2014 Ebola ilisababisha vifo 11,310.
2009 Swine flu ilisababisha mortality rate ya 4.5%
2020 Corona imesababisha mortality rate ya 3% mpaka tar 5-3-2020. Na asilimia 94% ya vifo hivyo vmetokea china peke yake.
Ukiangalia takwimu hizo utaona kuwa angalau Corona ina least damage lakini imepata publicity kubwa sana kuliko magonjwa mengine ambayo yalikua hatari zaidi, ukiingia mitandaoni unaweza kuhisi Corona ipo sebuleni kwako hapo buza!
Je hili ni sababu ya kuongezeka kwa utandawazi? Au kwa vile imetokea China? (90% naamini kama corona ingetokea katika nchi moja ya africa na kuua watu wengi zaidi kwenye nchi hyo pekee basi duniani sasa hivi tungekua tunaongelea kitu kingne na sio corona).
Mwisho naheshimu ugonjwa huu na kuwapa pole waathirika wote na kuwaombea na pia tuendelee kujilinda na kuomba Mungu atuepushe na ugonjwa huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli dunia imekua ikishuhudia kuibuka kwa viruses tofauti tofauti ambao husababisha vifo vya watu wengi!
Now dunia nzima inatikiswa na ugonjwa wa Covid-19, sidhiaki ugonjwa huu kabsa ila nnachojiuliza kwann kirusi huyu amerise tension na panic kubwa sana kuliko magonjwa mengne ambayo yamewahi kuikumba dunia na kusababisha vifo vingi zaidi na viruses wake walikua complicated zaidi?
2003 Sars virus alisababisha mortality rate ya 10% na kusambaa kwenye nchi 26 dunia kote.
2014 Ebola ilisababisha vifo 11,310.
2009 Swine flu ilisababisha mortality rate ya 4.5%
2020 Corona imesababisha mortality rate ya 3% mpaka tar 5-3-2020. Na asilimia 94% ya vifo hivyo vmetokea china peke yake.
Ukiangalia takwimu hizo utaona kuwa angalau Corona ina least damage lakini imepata publicity kubwa sana kuliko magonjwa mengine ambayo yalikua hatari zaidi, ukiingia mitandaoni unaweza kuhisi Corona ipo sebuleni kwako hapo buza!
Je hili ni sababu ya kuongezeka kwa utandawazi? Au kwa vile imetokea China? (90% naamini kama corona ingetokea katika nchi moja ya africa na kuua watu wengi zaidi kwenye nchi hyo pekee basi duniani sasa hivi tungekua tunaongelea kitu kingne na sio corona).
Mwisho naheshimu ugonjwa huu na kuwapa pole waathirika wote na kuwaombea na pia tuendelee kujilinda na kuomba Mungu atuepushe na ugonjwa huu.
Sent using Jamii Forums mobile app