Ni kweli BARAA hili linainyemelea Tanzania?

kazi bado ipo kubwa eti
BARAA tena capital letters
MAZARA ....duh
KUZINI..
still we av long way to go..!!
mungu ibariki Africa!
mungu kibariki kiswahili lugha maridhawa!
 
Mkuu hili neno zuri ni baraa au majanga kwani angako lolote la chama lina athari kubwa kwa viongozi ,wanachama na mali za chama. Mambo hayo yanaweza kupelekea baadhi yao wajae ndani ya nondo imara na pia kufirisi baadhi ya watu na kutaifishwa baadhi ya mali za chama , viongozi na hata wanachama.Hili kama si baraa au majanga ni nini?

si kwamba oyaoya hakukuelewa bali alikuwa anakurekebisha pasi na kutoa maneno makali kwamba wewe hujui kuandika kiswahili fasaha na akataka ufanyie uhariri uzi wako lakini bado hujamuelewa.
mf. baraa - balaa
.......mazara- madhara
......kuzini- kusini
....utabili- utabiri
ni vyema kama huna uhakika wa andiko lako ukaomba msaada kwa rafiki akusaidie ili ile athari ya lugha mama iishie kwenye kutamka na si kuandika.
******mwisho****----
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom