Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Wakuu, hope mko poa.
Nimekuta mjadala wa vijina walikuwa wanamponda dogo mmoja, eti anajikunja kuandika application latter kali uku, wakimuambia kuwa Tamisemi hawajiangaishagi kusoma application letter za waombaji wa ajira za ualimu.
Last year waombaji walikuwa karibia zaidi ya 100,000 (zaidi ya laki). Je, ni kweli Tamisemi wanapitiga application latter zaidi ya laki!
Tiririka
Nimekuta mjadala wa vijina walikuwa wanamponda dogo mmoja, eti anajikunja kuandika application latter kali uku, wakimuambia kuwa Tamisemi hawajiangaishagi kusoma application letter za waombaji wa ajira za ualimu.
Last year waombaji walikuwa karibia zaidi ya 100,000 (zaidi ya laki). Je, ni kweli Tamisemi wanapitiga application latter zaidi ya laki!
Tiririka