Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Jina????jina linakusaidia nn au linakupunguzia nn?liwe la asili au siyo ??
jina linatunza asili yako, ni utambulisho wa asili yako.. ukikutana na mzungu anaitwa oscar halafu anakuuliza unaitwa nani na we unamjibu oscar lazma akushangae, kwa sababu hilo jina ni la asili yao.. alitarajia asikie kitu kama kimbangulile, miumbi, kingunge.. majina ya kibantu kabisa haya..

usikute umewahi kumlaumu mtu kwa tabia ya kukopi na kupest.. SURPRISE, YOU HAVE COPY PASTED YOUR WHOLE LIFESTYLE, YOU HAVE NOTHING THAT SAYS "AFRICAN" EXCEPT YOUR SURNAME.
 
Mkuu hivi vitabu vinavyofunga akili za watu ni noma sana...kile kilichoshushwa kinasema nabii Adam alikuwa na urefu wa futi 90...niliishiwa nguvu kabisa, yaani 90ft alafu miaka 6000 baadae wanawe hawafikishi hata 2ft?....waandishi hawakuutendea haki uelewa wa watu kabisa.
Wakisema hivyo inamaana walikua wanataka Watuaminishe zamani mbuzi alikuwa ng'ombe.
Na ng'ombe alikua tembo. Na tembo alikikuwa na ukubwa kama kiwanja cha cha mpira.

Na nimekubmbuka kitabu cha juma na uledi walivyo wanadanganyana wakati wanachunga mbuzi.
 
Usikwepe swali la msingi,hujajibu swali bado xo kwa akili yako mzungu akijua asili ya jina langu napata nn au nakosa nn,Tambua hili cku zote n'zi hufuata kinyesi jitambue na ufikiri Kabla hujaropoka.
 
Kuna wakati watu tunajichumia dhambi bure

Tafuteni waalimu wa masomo husika mkafundishwe msikurupuke

Biblia siyo Katiba
 
Usikwepe swali la msingi,hujajibu swali bado xo kwa akili yako mzungu akijua asili ya jina langu napata nn au nakosa nn,Tambua hili cku zote n'zi hufuata kinyesi jitambue na ufikiri Kabla hujaropoka.
lazma akudharau sababu huna cha kujivunia, chochote unachojivunia kimetoka kwao, anakuona mbwa tu kama yesu anavyokuona wewe mbwa sababu sio myahudi.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Mwanadamu aliumbwa kuishi milele, kabla ya dhambi hakukuwa na kifo lakini baada ya dhambi ndipo kifo kikaanza then miaka ya kuishi ikaanza kupungua. Kwa hiyo kupungua kwa miaka ya kuishi hadi hivi leo ambapo ww waweza ishi miaka 40 au 10 au 25 basi ni matokeo ya dhambi. Biblia imejazwa na maneno ya manabii waliokuwepo enzi hizo na kwa kipindi cha mwanzo iliandikwa katika gombo katika lugha za manabii. Hivyo, zilitafsiriwa baadae katika lugha mbalimbali ili injili iwafikie watu wengi zaidi. hakuna neno la uongo. Mithali 30:5-6 "5 Maneno yote ya Mungu ni ya kuaminika;yeye ni ngao yao wote wanaomkimbilia. 6 Usiongeze neno katika maneno yake,asije akakukemea, nawe ukaonekana mwongo".
 
Mwanadamu aliumbwa kuishi milele, kabla ya dhambi hakukuwa na kifo lakini baada ya dhambi ndipo kifo kikaanza then miaka ya kuishi ikaanza kupungua.
tukiwafufua wafu wote waliokufa tangu siku ya kwanza ya adam na hawa kuumbwa mpaka mwaka huu 2016, unadhani tukichanganyika sisi tulio hai na wao tutaenea hapa duniani?

yani akilini mwako tengeneza picha ya dunia ya watu ambao hawajatenda dhambi, halafu wachanganye na watu waliokufa tangu enzi za adam na hawa, wafufue, halafu sema kama tunaenea duniani au hatuenei?
 
The word `utopia’ means, in its roots, “that which never comes.” You can dream about it, but your dream is an exercise in utter futility; it is utopian, it is not going to come, ever. It is a hopeless hope.

It is an opium to keep people dreaming and hallucinating, so that they can tolerate the suffering and misery in the present.
 
Mmedanganywa huko mnakuja kujifanya kuchallenge wakati unaweza kuta umelelewa katika mazingira ya kumjua Mungu
 
tukiwafufua wafu wote waliokufa tangu siku ya kwanza ya adam na hawa kuumbwa mpaka mwaka huu 2016, unadhani tukichanganyika sisi tulio hai na wao tutaenea hapa duniani?

yani akilini mwako tengeneza picha ya dunia ya watu ambao hawajatenda dhambi, halafu wachanganye na watu waliokufa tangu enzi za adam na hawa, wafufue, halafu sema kama tunaenea duniani au hatuenei?
"Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi." Ni mpango wa Mungu kuijaza dunia, nadhani kwa sababu ni mambo ya imani (Waebrania 11:1-maana ya imani) tungelitosha tu na kutokana na kuwa na sayari nyingi wengine wangeliweza kuishi sehemu tofauti. (dunia isiyokuwa na dhambi).
 
tukiwafufua wafu wote waliokufa tangu siku ya kwanza ya adam na hawa kuumbwa mpaka mwaka huu 2016, unadhani tukichanganyika sisi tulio hai na wao tutaenea hapa duniani?

yani akilini mwako tengeneza picha ya dunia ya watu ambao hawajatenda dhambi, halafu wachanganye na watu waliokufa tangu enzi za adam na hawa, wafufue, halafu sema kama tunaenea duniani au hatuenei?
Hapo mwanzo Adam na Hawa walikua hawishi katika dunia baada ya kutenda dhambi ndio wakashushwa na kuja ktk hii dunia hivyo akili yako tu ndio inayopinga hilo na sio wewe tu hata mtoto awapo tumboni mwa mama yake huwa anacheza na kuona yuko ktk nafasi kubwa mno lau angetokea mtu akamwambia usicheze unamsumbua mama yako subili utakuja kucheza duniani kwani dunia ni kubwa mno kiasi huko duniani kuna tunda moja ni kubwa kuliko hapo ulipo angepinga kama wewe upingavyo lakini akifika duniani atalikuta tikiti maji kubwa kuliko tumboni alipoishi yeye na ktk dunia tikiti si chochote si lolote
 
tungelitosha tu na kutokana na kuwa na sayari nyingi wengine wangeliweza kuishi sehemu tofauti. (dunia isiyokuwa na dhambi).
hao wangewezaje kuishi kwenye sayari nyingine wakati haziwezi kusapot LIFE? na wangefikaje huko kwenye sayari nyingine?
 
Hapo mwanzo Adam na Hawa walikua hawishi katika dunia baada ya kutenda dhambi ndio wakashushwa na kuja ktk hii dunia
nyie wafia dini someni vitabu vyenu acheni kuwa matahira kiasi hiki..

mungu wakati anaumba dunia mpaka siku ya tano alikamilisha kila kitu isipokuwa nwanadamu.. siku ya sita akamuumba mwanadamu, akamuumba mwanaume na mwanamke, na akawabariki akawaambia zaeni na mkaijaze NCHI.. nchi ipo wapi kama sio duniani?

mungu aliumba mbingu na nchi, mbingu tunajua ipo juu, nchi ipo chini, unabisha nini? wewe una akili kweli?

MWANZO 1:27-28

"Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi."
 
Back
Top Bottom