Ni kwanini watusi hutumia kigezo cha "pua na macho"kutambuana?

Ni kweli so Watusi Bali watutsi ukihiwa kutokua mtanzania in ngumu kuelezea pasipo shaka uraia wako kwani kuzaliwa tu si kigezo cha uraia yalinikuta nilitumia vipengele Vingi vya sheria kuthibitisha na kupoteza muda mrefu
 
Dar Idara ya uhamiaji ni wakali mno
 
Kwani wengine hutumia kigezo gani kutambuana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…