Ni kwanini UKIMWI una nyota ya kupata hela?

Ni kwanini UKIMWI una nyota ya kupata hela?

Wagumu Tunadumu

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2022
Posts
7,593
Reaction score
23,194
UKifatilia katika jamii zetu wale vijana waliopata ukimwi mapema chini ya miaka 40 wengi wao lazima wawe vizuri kiuchumi

Bado hata watu wazima wengi na mishangazi,kila mshangazi wenye mapene ukiifatilia vizuri unagundua tayari imeshawaka

Naanza kuamini ukimwi utakuwa na nyota ya hela
 
3d65096781e74b9c32cb450a7a62adfb~2.jpg
 
UKifatilia katika jamii zetu wale vijana waliopata ukimwi mapema chini ya miaka 40 wengi wao lazima wawe vizuri kiuchumi

Bado hata watu wazima wengi na mishangazi,kila mshangazi wenye mapene ukiifatilia vizuri unagundua tayari imeshawaka

Naanza kuamini ukimwi utakuwa na nyota ya hela
Pole sana kwa Kuathirika na UKIMWI Mkuu.
 
Watu wa Magharibi na wa Asia wana hela na wanaziona kama fuel ya kufikia ndoto zao kiuchumi. Mijitu meusi ikipata hela kidogo ni pombe, ngono zembe za kufukua mitaro siku mbili anauziwa magonjwa ya uzinzi kama UKIMWI then anaishi kwa kumeza tende kwa hisani ya Mmarekani. Hata uwe na hela au mali kiasi gani, utajiri wa kwanza ni afya njema inayojimudu yenyewe.
 
Marehemu binti yangu wa kazi msamehe huyu kijana.
Hajui aongeayo, hajakusudia kukudhihaki ulipataje ukimwi wakati ulikuwa fukara!
Mungu akusamehe dhambi zako. Ulale pema peponi.
Amen.
 
Kwaiyo unataka kusema Nini haswa kwamba na sisi tuwe nao sio Ili nyota iwakee et eeh
 
Marehemu binti yangu wa kazi msamehe huyu kijana.
Hajui aongeayo, hajakusudia kukudhihaki ulipataje ukimwi wakati ulikuwa fukara!
Mungu akusamehe dhambi zako. Ulale pema peponi.
Amen.
Alipata akiwa kwako au alikuja nao
 
Pesa inavishawishi mkuu , ukiwa kijana na pesa warembo wanakuzungukia kama nzi , kama unavyoona wanaume na Tamaa ya ngono ni Pete na vidole , kuwaka ni kugusa tuu,
Exactly,lakin kwann wanapowaka ndo na mambo yao kiuchumi yanazid kwenda poa
 
Back
Top Bottom