Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kwa wale vijana wa miaka waliosoma miaka 80,90 na 2000 mwanzoni mtakuwa mnakumbuka
Swala la elimu lilivyopewa kipaumbele
1.Nakumbuka kufaulu toka la saba kwenda kidato cha kwanza vijana walikuwa wanapambana kufaulu kwenda shule serikali
Vijana akifeli anarudia afaulu
2.kufaulu kwenda kidato cha nne kupata credit tano hali ilikuwa so mchezo watu walikuwa wana risiti akikisa credit basi hata Cheti cha Form 4
Kwa kipindi kile watu wakifeli walikuwa wanafikia hatua ya kujiua kisa matokeo mabaya
Chuo kikuu ukifika ndo usiseme
Kwa kipindi kile elimu ilipewa thamani sana tofauti na sasa je shida ni nini
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Swala la elimu lilivyopewa kipaumbele
1.Nakumbuka kufaulu toka la saba kwenda kidato cha kwanza vijana walikuwa wanapambana kufaulu kwenda shule serikali
Vijana akifeli anarudia afaulu
2.kufaulu kwenda kidato cha nne kupata credit tano hali ilikuwa so mchezo watu walikuwa wana risiti akikisa credit basi hata Cheti cha Form 4
Kwa kipindi kile watu wakifeli walikuwa wanafikia hatua ya kujiua kisa matokeo mabaya
Chuo kikuu ukifika ndo usiseme
Kwa kipindi kile elimu ilipewa thamani sana tofauti na sasa je shida ni nini
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app