Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Huwa ninajiuliza ni kwanini akikuacha huwa anapenda kukuona ukiteseka juu yake au unapoteza mwelekeo wa maisha lakini inapotokea aliyekuacha umekubaliana na matokeo unaendelea na shughuli zako kama kawaida huna muda wa kumsumbua wala kumbembeleza upande wake inakuwa kama ni tatizo hivyo huanza vitu vya maneno chuki n.k
Ni kwanini hii hali huwa inajitokeza mazungumza hivi from my experience.
Ni kwanini hii hali huwa inajitokeza mazungumza hivi from my experience.