Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,714
- 41,014
2015 UKAWA ilianguka ikiwa matika peak yake,
hayo yalitokea Zitto akiwa na ACT aliyoiunda baada ya kufukuzwa CHADEMA.
Bado nawaza ni kwa namna gani zao la usaliti likawa sehemu ya aliyesalitiwa na kufanikiwa.UKAWA tuambieni ni sababu zipi hasa tuwaamini sasa.
hayo yalitokea Zitto akiwa na ACT aliyoiunda baada ya kufukuzwa CHADEMA.
Bado nawaza ni kwa namna gani zao la usaliti likawa sehemu ya aliyesalitiwa na kufanikiwa.UKAWA tuambieni ni sababu zipi hasa tuwaamini sasa.