Ni kwa sababu zipi tuiamini UKAWA ya sasa?

Muungano wa upinzani Tanzania ni matusi na dharau kwa watanzania. Haiwezekani Lipumba, Mbowe na Mbatia watoke usingizini na kusema vyama vya vimeungana. Haiwezekani wtu wako msibani wanaamka wanasema wameungana kupinga udikteta, wanapinga udikteta au wanapinga watu waliosusia msiba? Ujinga mtupu, watanzania tulishafanywa mazwazwa

Walio kufanya zwazwa ni hao waliongia mikataba ya wizi, kwenye kila ripoti ya mikataba ya wizi wanaishia kutaja majina ya waliongia mikataba hiyo bila kuchukua hatua yoyote. Ukiwaambia waweke hiyo mikataba ya wizi hadharani ifahamike inasema nini wanasema ni siri. Toka lini wizi ikawa siri? Halafu boya kama ww unakuja huku jukwaani mbio kuongea mambo mepesi ya kina Mbowe, nk huku unaacha kuhoji hatua stahiki kuchukuliwa kwa wezi.
 
Muunganiko ule haupo kisheria, bali ulikuwa njia ya kificho kwani sheria haitambui muungano wa vyama. Sasa unataka vipi msimamo wa kundi ambalo halipo na liliundwa rasmi kwa uchaguzi wa 2015 tu?
na ndio maana nikauliza kwa kutaka kujua wanachokisimamia kwa sasa ni kipi ili tukipime tujue kama kuna mantiki yeyote..
 
na ndio maana nikauliza kwa kutaka kujua wanachokisimamia kwa sasa ni kipi ili tukipime tujue kama kuna mantiki yeyote..

Stroke utakuwa unazeeka kwa kasi ya ajabu. Nakuambia ukawa sio kundi rasmi na wala haliexist na halina platform ya kuonyesha hicho unachotaka. Unadai vipi jambo kwa kundi lisilo hai? Kundi lile lilitokea wakati wa bunge la katiba mpya, na ilipofika wakati wa uchaguzi likachepu ila halikuwepo kisheria. Leo hii tunavyozungumza halipo popote zaidi ya uwepo wa kinadharia. Ww umebaki kung'ang'ana na misimamo ya kundi lisilopo kwani hata mazingira ya uwepo wake kwa sasa hayapo. Muungano ule ungekuwepo kisheria hoja yako ingekuwa na mashiko. Ww staafu siasa tu mkuu, kwa sasa umechoka.
 
Back
Top Bottom