Ni kupiga chini michepuko hakuna namna

Ni kupiga chini michepuko hakuna namna

Paying for the hole,after you're all done make sure you don't forget to collect your receipt
 
Sijaona faida ya mchepuko zaidi ya kukurudisha nyuma kiuchumi..kama wewe kipato cha kawaida.
 
tatizo vidada vya sikuizi vinapenda slope sana... yan iyo papuchi wanaona big issue

mm namsubiri mchina atuletee za kichinaa!! mbona watalia machozi ya damu!
hahahahahha. kwaiyo na zakichina mtakua nao wawiliwali au?
 
ukiwa na pesa faida yke nn?? unaekeza au??

Unampa wife space...
kama hayuko in a mood
au yuko na stress unampa 'nafasi ya kutosha'
humsumbui sumbui.....

mke akiwa likizo ya uzazi..
au kasafiri.....

faida ziko nyingi hujui au unajifanya hujui?
 
Unampa wife space...
kama hayuko in a mood
au yuko na stress unampa 'nafasi ya kutosha'
humsumbui sumbui.....

mke akiwa likizo ya uzazi..
au kasafiri.....

faida ziko nyingi hujui au unajifanya hujui?
maelezo mengi point zero.
 
Vumilia kidogo st Augustine karibia wanafungua, utapata Ka 1st year utakuwa unajichapia kwa gharama za vocha Na out ya wkend tu kwenda club
 
achana na michepuko, wengi wao wanakuaga washirikina, kama hauna mke tafuta mchumba weka ndani utaepuka gharama nyingi na maradhi mengi mno mkuu.. kuchepuka chepuka wakija kujua una kazi nzuri wisho wake kupigwa kipapai mshahara wote unapeleka kwake.
sasa pata picha una michepuko mitatu halafu kila mchepuko umekupiga kipapai.. hatari.
 
Kama hutapeleka ulivyodaiwa upeleke, atapatikana atakaekamilisha, jukumu la kwanza si umemaliza basi achia wenye nguvu wachukue.
 
Back
Top Bottom