Ni kupiga chini michepuko hakuna namna

Ni kupiga chini michepuko hakuna namna

Hivi vyote hivifikii thamani ya k, ndo maana haiuzwi wala haitolewi bure
Inauzwa tena ukitembea huko Duniani ndo utashangaa zipo za kila race we ukipita street unacheki tu kwenye vioo utakaye muelewa unaingia labda tu umshaur na baba *****aanzishe na huku apate kodi
 
Damn hatua uliyo fikia kubwa mno ilibaki kujenga tu at list umeanza kujiekewa elewa nenda kwa mganga akutapishe hill limbwata la kupeleka maendeleo mchepukoni
 
Salaam.
Nina mambo Mengi mno ya kueleza lakini kwa sababu sipendi kuwachosheni itabidi nifupishe.
Baada ya kuamishwa kikazi kuja mwanza nilipata binti( mama wa mtoto mmoja) sharti alilonipatia ni kumpangia nyumba, Nami nikakubaliana nae sasa baada ya kupanga anaanza kunitajia vitu kibao anataka sofa, flat screen, kitanda cha chuma, subwoofer, red carpet, vyombo vipya nk.
Ukiangalia mirija yote ya kupata pesa ya ziada siku hızı hakuna mtu unategemea mshahara tu nao ni laki Saba tu kwa mwezi. Pili sijaona faida kabisa ya kuwa na mchepuko usawa huu ni vikwazo vikubwa vya maendeleo. Hivyo niamua kupiga chini kwa sababu input ni kubwa mno kuliko output.

Labla anayejua faida ya kuwa na mademu wa staili hii anijuze.
tumia hiyo michepuko wewe........ wife only is some how tiresome
 
Mke wangu kaniambia kama sina mchepuko ataniacha.
Kaniambia nitafute mchepuko ila nisimuambie, akihitaji kumfahamu atamjua kwa nafasi yake.
Hajawahi kunipa sababu.
Yawezekana unampiga kipigo cha mbwa mwitu ndio maana anataka msaada wa mwenzie kijanja asaidiwe
 
Mwambie akupe 0713 akikubali nawe mpe anchohtaji...akigoma basi muendelee na 0788 au 0754 maana hakuna namna.
 
Yawezekana unampiga kipigo cha mbwa mwitu ndio maana anataka msaada wa mwenzie kijanja asaidiwe

Sijawahi kupigana wala kumpiga mtu toka nizaliwe.
Una jingine?
 
Gharama za uendeshaji zimekuwa juu! hongera kustukia picha mapema wezio hufa na tai shingoni.
 
Salaam.
Nina mambo Mengi mno ya kueleza lakini kwa sababu sipendi kuwachosheni itabidi nifupishe.
Baada ya kuamishwa kikazi kuja mwanza nilipata binti( mama wa mtoto mmoja) sharti alilonipatia ni kumpangia nyumba, Nami nikakubaliana nae sasa baada ya kupanga anaanza kunitajia vitu kibao anataka sofa, flat screen, kitanda cha chuma, subwoofer, red carpet, vyombo vipya nk.
Ukiangalia mirija yote ya kupata pesa ya ziada siku hızı hakuna mtu unategemea mshahara tu nao ni laki Saba tu kwa mwezi. Pili sijaona faida kabisa ya kuwa na mchepuko usawa huu ni vikwazo vikubwa vya maendeleo. Hivyo niamua kupiga chini kwa sababu input ni kubwa mno kuliko output.

Labla anayejua faida ya kuwa na mademu wa staili hii anijuze.



Usiwe kama hauna akili na wewe. Demu anakupangia mahitaji yake kwani wewe ndiye mkombozi wa maisha yake na mwanaye? Kumbuka, she's not doing you a favor kumtomba yeye haswa ukizingatia kuwa yeye ndiye anayefaidika zaidi kupokea hogo, iweje wewe uwe mtumwa wake?
 
Salaam.
Nina mambo Mengi mno ya kueleza lakini kwa sababu sipendi kuwachosheni itabidi nifupishe.
Baada ya kuamishwa kikazi kuja mwanza nilipata binti( mama wa mtoto mmoja) sharti alilonipatia ni kumpangia nyumba, Nami nikakubaliana nae sasa baada ya kupanga anaanza kunitajia vitu kibao anataka sofa, flat screen, kitanda cha chuma, subwoofer, red carpet, vyombo vipya nk.
Ukiangalia mirija yote ya kupata pesa ya ziada siku hızı hakuna mtu unategemea mshahara tu nao ni laki Saba tu kwa mwezi. Pili sijaona faida kabisa ya kuwa na mchepuko usawa huu ni vikwazo vikubwa vya maendeleo. Hivyo niamua kupiga chini kwa sababu input ni kubwa mno kuliko output.

Labla anayejua faida ya kuwa na mademu wa staili hii anijuze.
Umemkuta na maisha yake afu ghafla kukuona wewe umemfata ndo akapata wazo la kupanga?au uliji pump wewe mwenyewe?coz huwezi enda tu mkoa ukamkuta mwanamke tena wanawake hawa wa kisasa ukampangishie nyumba,unaweza ishia kujilaumu tu.
 
Unamfanyia yote hayo afu bado baba wa huyo mtoto anaendelea kupiga mashine kama kawaida
 
Back
Top Bottom