Dinipevu
Senior Member
- Mar 15, 2011
- 100
- 31
Mi+naona ni+ile asili ya mwanadam ya kutenda dhambi ndo inasababisha wa2 kuwa na mwanamke zaid ya mmoja. So wa2 wanatakiwa ku2bu na kumrudia mungu
kanuni ya uumbaji ni kijike au kidume ni kuwa na zaidi ya mmoja
ila baadae MUNGU AKAONA TUNAITUMIA VIBAYA FURSA HIYO
na ndiyo maana wengine wanaendeleza.......