Ni kipi kinachoendelea Bongo?

MwendaOmo

JF-Expert Member
Dec 16, 2013
774
723
Hawa wauaji wa Kibit ni kina nani?

Mara nyingi, tumekuwa na baadhi ya watanzania (wachache) ambao wamekuwa wakifurahia magaidi wanapotekeleza mauaji hapa Kenya. Wengine wamekuwa wakisema kuwa hili linadhihirisha kuwa KDF ni Jeshi la hovyo kabisa na kwamba TPDF lingekuwa tayari limeshawamaliza hawa al-shabaab.

Baadhi yetu tuliwaambia kuwa hili si janga la Kenya, bali ni la EAC nzima. Mara nyingi mmekumbushwa kuwa kuna baadhi ya vijana wa Kitanzania ambao wamekuwa wakienda kupata mafunzo kule Somalia, ila wengine mlipinga na kusema kuwa Tanzania hamjawakosea Al-shabaab na kuwa hakuna lolote watakalofaidi wakija kumpiga vita. Baadhi yao kama FaizaFoxy walikuwa wakisherehekea hadharani. Cha kushangaza ni kuona kuwa yule aliyekuwa akiwashabikia, ndiye yule yule ambaye anakiri kujawa na hofu baada ya mauaji Kibiti kuwa nyingi Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Hiki ndicho nitawaambia: ombeni kuwa wale wanaotekeleza mauji haya wawe ni watu ambao wako na local issues. Kama vile hapa Kenya tulikuwa na kikundi kilichoitwa MRC - Mombasa Republican Council. Ombeni sawa wasiwe ni wale masehtani ya Al-shabaab au ISIS.
 
Sidhani kama matukio ya kibiti yanahusiana na ugaidi.Kama ni ugaidi mbona wanashambulia sehemu moja tu,tena wanalenga watu fulani fulani??
 
Sidhani kama matukio ya kibiti yanahusiana na ugaidi.Kama ni ugaidi mbona wanashambulia sehemu moja tu,tena wanalenga watu fulani fulani??

Ni ugaidi, hamna sababu ya kupindisha maneno. Kuna watu wanadhani kuwa wataeneza dini yao kwa kuuwa watu wengine. Kuna washenzi wengi wa Pwani, Lindi na Mtwara wanapata mafunzo ya kigaidi Somalia bila shaka ndio wanafanya ushenzi huo.

Serikali na polisi wanaleta siasa na kuogopa kusema ukweli kuwa ni ugaidi kuhofia 'kuwaudhi' baadhi ya watu. Mpango wa Al-Shabab kama ilivyo Boko Haram na ISIS ni kulazimishia watu wengine dini yao kwa kufanya vurugu. Afrika Mashariki yote ipo matatani sababu ya Wasomali waliokuwa brainwashed na waarabu.
 
Ni ugaidi, hamna sababu ya kupindisha maneno. Kuna watu wanadhani kuwa wataeneza dini yao kwa kuuwa watu wengine. Kuna washenzi wengi wa Pwani, Lindi na Mtwara wanapata mafunzo ya kigaidi Somalia bila shaka ndio wanafanya ushenzi huo.

Serikali na polisi wanaleta siasa na kuogopa kusema ukweli kuwa ni ugaidi kuhofia 'kuwaudhi' baadhi ya watu. Mpango wa Al-Shabab kama ilivyo Boko Haram na ISIS ni kulazimishia watu wengine dini yao kwa kufanya vurugu. Afrika Mashariki yote ipo matatani sababu ya Wasomali waliokuwa brainwashed na waarabu.
Mkuu kama ni kweli hawa watu ni kupambana nao kwa hali na mali.Masuala ya kidini ni marufuku kujipenyeza katika siasa za nchi hii.Hatutalikubali kama jambo hili.
 
ISIL courts al-Shabab as al-Qaeda ties fade away

23 MARCH 2015


Recent ISIL communications show attempts to secure influence in East Africa - the stronghold of al-Shabab and al-Qaeda.

What most failed to notice was a few weeks earlier an "emissary" of ISIL sent a public invitation to the emir of al-Shabab in Somalia, Abu Ubaidah, urging him to do the same.

The emissary was Hamil al-Bushra, the nom de guerre used by two media outlets that have been described by Washington Institute for Near East Policy fellow Aaron Zelin as "official semi-official accounts" from ISIL.

In the message Bushra praised the "brothers in Somalia" and encouraged them to attack "inside Kenya, Tanzania, Ethiopia". He told Abu Ubaidah all that is needed to pledge loyalty to ISIL is for the al-Shabab media wing, al-Kataib, to issue an audio message.

ISIL courts al-Shabab as al-Qaeda ties fade away

 
Ni ugaidi, hamna sababu ya kupindisha maneno. Kuna watu wanadhani kuwa wataeneza dini yao kwa kuuwa watu wengine. Kuna washenzi wengi wa Pwani, Lindi na Mtwara wanapata mafunzo ya kigaidi Somalia bila shaka ndio wanafanya ushenzi huo.

Serikali na polisi wanaleta siasa na kuogopa kusema ukweli kuwa ni ugaidi kuhofia 'kuwaudhi' baadhi ya watu. Mpango wa Al-Shabab kama ilivyo Boko Haram na ISIS ni kulazimishia watu wengine dini yao kwa kufanya vurugu. Afrika Mashariki yote ipo matatani sababu ya Wasomali waliokuwa brainwashed na waarabu.

Hilo huitwa state of denial. Nadhani serikali haina uhakika whether ni watu ambao issues zao ni local au ni mambo yanayopita mipaka. Pia yaonekana serikali haitaki kuwatia watu hofu kwa hivyo inajifanya sio kitu.
 
Hilo huitwa state of denial. Nadhani serikali haina uhakika whether ni watu ambao issues zao ni local au ni mambo yanayopita mipaka. Pia yaonekana serikali haitaki kuwatia watu hofu kwa hivyo inajifanya sio kitu.

Kuna hiki kitu kinaitwa 'political correctness' ndio kinatuponza. Serikali inajua na ina uhakika kuwa ni ugaidi ila ndio hivyo, wanahofia 'kuudhi' baadhi ya watu wakisema ukweli.
 
Kuna hiki kitu kinaitwa 'political correctness' ndio kinatuponza. Serikali inajua na ina uhakika kuwa ni ugaidi ila ndio hivyo, wanahofia 'kuudhi' baadhi ya watu wakisema ukweli.
So many things are happening chini chini,
Wajeda wameshachinja wengi kimyakimya hadi sasa na inasemekana ni mtandao mkubwa uliojipanga kwa muda mrefu ,
pia vile Magu alibadilisha IGP juu kwa juu hili likihusika kwani inasemekana hawa snipers wanauhusiano na mfumo wetu wa ulinzi.
Lakini makamanda wetu wana weledi, mkuu wa jeshi la Wananchi anatinga kule kijijini Kuongea na wanakijiji hususani wazee,
Hawa ndio wenye taarifa zote za huu mtandao.
All in All Mambo hayaendi sawa Dunia nzima sasa.
 
Dah, ila kwa kweli hao jamaa wana ujasiri maana hapo Kibiti pamesemwa sana lakini bado wanaua. Jana nimesoma wameua askari wa usalama barabarani. Halafu Bongo huwa hawapi silaha askari wa usalama barabarani walioko huko mbugani.
Inafaa maeneo kama hayo kila askari wa usalama barabarani anakua na mapolisi wengine pembeni waliojihami hadi basi. Jameni ikiwa polisi hawana usalama, raia je?

Aisei haya magaidi si ya kucheka nao, piga ua kabisa, siku hizi wanamalizwa kimya kimya hamna cha kuhangaika. Tangu waziri wetu mpya wa usalama achukue usukani, mambo yamenyooka, hacheki nao maana alitokea jeshini.
 


This issue should be looked at as soonest as possible, wasiwachiliwe watawale, wazimwe na mapema, they are also human beings and afraid of death despite them claiming they are not
 


This issue should be looked at as soonest as possible, wasiwachiliwe watawale, wazimwe na mapema, they are also human beings and afraid of death despite them claiming they are not


Hiyo video noma, kuna yule shabiki wao humu JF MOTOCHINI sijui kama ameona hii.

Lakini mimi hujiuliza hivi hawa watu wanajua kwamba ipo siku dunia itaamua kujitoa ufahamu tuchinjane nao kama mazombi, hiyo siku ndio watajua binadamu sote ni wanyama ila tunajizuia tu. Usijione kwamba unafanya fanya ugaidi watu wakikuogopa hivyo wewe ni shujaa, siku watu watafika mwisho na kugeuza kibao ndio itakua Armageddon.
 
Hiyo video noma, kuna yule shabiki wao humu JF MOTOCHINI sijui kama ameona hii.

Lakini mimi hujiuliza hivi hawa watu wanajua kwamba ipo siku dunia itaamua kujitoa ufahamu tuchinjane nao kama mazombi, hiyo siku ndio watajua binadamu sote ni wanyama ila tunajizuia tu. Usijione kwamba unafanya fanya ugaidi watu wakikuogopa hivyo wewe ni shujaa, siku watu watafika mwisho na kugeuza kibao ndio itakua Armageddon.

Watu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati uzalendo uliwashinda wakawapa magaidi kichapo cha mbwa mwizi hadi leo wameshika adabu.
 
Kwanza nakupongeza kwa kujaribu kuandika kwa Kiswahili. Na ningependa kukusahihisha makosa madogo niliyoyaona

Point of correction
Kwanza, kichwa cha habari kilifaa kiwe ni nini kinachoendelea.
Pili, wakiwafanyia vita ama fujo ama vurugu ama wakipigana vita badala ya wakipiga vita.
Tatu mauaji ya Kibiti kuwa mengi badala ya kuwa nyingi.
Ni hayo tu...
 
Hiyo video noma, kuna yule shabiki wao humu JF MOTOCHINI sijui kama ameona hii.

Lakini mimi hujiuliza hivi hawa watu wanajua kwamba ipo siku dunia itaamua kujitoa ufahamu tuchinjane nao kama mazombi, hiyo siku ndio watajua binadamu sote ni wanyama ila tunajizuia tu. Usijione kwamba unafanya fanya ugaidi watu wakikuogopa hivyo wewe ni shujaa, siku watu watafika mwisho na kugeuza kibao ndio itakua Armageddon.



I picked out another video, to be honest when the issue of al shabaab in Kenya was a nightmare, Kenyan intelligence showed that this devil worshipper called al shabaab had infiltrated every country in east Africa as far as Burundi, nikiona watanzania wakisema kenya ni waoga I feel for them, we have had this menace and we have become wiser, al shabaab too has become wiser, wakiamua kufocus on Tanzania vizuri watakipatapata, we ve upped our security sana there so many cases our ATPU deals with that never reaches the media.
 
Hawa wauaji wa Kibit ni kina nani?

Mara nyingi, tumekuwa na baadhi ya watanzania (wachache) ambao wamekuwa wakifurahia magaidi wanapotekeleza mauaji hapa Kenya. Wengine wamekuwa wakisema kuwa hili linadhihirisha kuwa KDF ni Jeshi la hovyo kabisa na kwamba TPDF lingekuwa tayari limeshawamaliza hawa al-shabaab.

Baadhi yetu tuliwaambia kuwa hili si janga la Kenya, bali ni la EAC nzima. Mara nyingi mmekumbushwa kuwa kuna baadhi ya vijana wa Kitanzania ambao wamekuwa wakienda kupata mafunzo kule Somalia, ila wengine mlipinga na kusema kuwa Tanzania hamjawakosea Al-shabaab na kuwa hakuna lolote watakalofaidi wakija kumpiga vita. Baadhi yao kama FaizaFoxy walikuwa wakisherehekea hadharani. Cha kushangaza ni kuona kuwa yule aliyekuwa akiwashabikia, ndiye yule yule ambaye anakiri kujawa na hofu baada ya mauaji Kibiti kuwa nyingi Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Hiki ndicho nitawaambia: ombeni kuwa wale wanaotekeleza mauji haya wawe ni watu ambao wako na local issues. Kama vile hapa Kenya tulikuwa na kikundi kilichoitwa MRC - Mombasa Republican Council. Ombeni sawa wasiwe ni wale masehtani ya Al-shabaab au ISIS.
Unaloongea ni kweli nasikia vijana wengi walipelekwa somalia kwa training sema tulibeza sana hii kitu sasa inatutafuna maana hawa jamaa wana mafunzo ya kijeshi kabisa. Na ile hali ya kutoogopa hata statement ya mkuu wa nchi ndio inanifanya kuamini kuwa hawa jamaa sio majambazi bali magaidi walio tayari kufa.
Kweli tuombee tu mipango yao iishie kwa hizo jamii inazozilenga but wakitune tu aina ya mzki wakaanza kazi jijini dar basi hakuna rangi tutaacha ona. Maana watz hatuko ready kwa haya mambo kabisa
 
Back
Top Bottom