Ni kipi kinachoendelea Bongo?

Sidhani kama matukio ya kibiti yanahusiana na ugaidi.Kama ni ugaidi mbona wanashambulia sehemu moja tu,tena wanalenga watu fulani fulani??
Ugaidi ni ugaidi tu hata kama unashambulia sehemu moja tu na kulenga watu fulani fulani.
 
Ukweli ni ugaidi unaendelea kibiti,nakumbuka kuna kipindi CNN walielezea jinsi Jihad john alivyokamatwa TZ,akielekea Somalia,na NIS ya Kenya ilivyowakata Wa TZ wakielekea Somalia, this guyz are back!
 
Kwanza nakupongeza kwa kujaribu kuandika kwa Kiswahili. Na ningependa kukusahihisha makosa madogo niliyoyaona

Point of correction
Kwanza, kichwa cha habari kilifaa kiwe ni nini kinachoendelea.
Pili, wakiwafanyia vita ama futon badala ya wakipiga vita.
Tatu mauaji ya Kibiti kuwa mengi badala ya kuwa nyingi.
Ni hayo tu...
Hahaha nimeishia kucheka
 
Hawa wauaji wa Kibit ni kina nani?

Mara nyingi, tumekuwa na baadhi ya watanzania (wachache) ambao wamekuwa wakifurahia magaidi wanapotekeleza mauaji hapa Kenya. Wengine wamekuwa wakisema kuwa hili linadhihirisha kuwa KDF ni Jeshi la hovyo kabisa na kwamba TPDF lingekuwa tayari limeshawamaliza hawa al-shabaab.

Baadhi yetu tuliwaambia kuwa hili si janga la Kenya, bali ni la EAC nzima. Mara nyingi mmekumbushwa kuwa kuna baadhi ya vijana wa Kitanzania ambao wamekuwa wakienda kupata mafunzo kule Somalia, ila wengine mlipinga na kusema kuwa Tanzania hamjawakosea Al-shabaab na kuwa hakuna lolote watakalofaidi wakija kumpiga vita. Baadhi yao kama FaizaFoxy walikuwa wakisherehekea hadharani. Cha kushangaza ni kuona kuwa yule aliyekuwa akiwashabikia, ndiye yule yule ambaye anakiri kujawa na hofu baada ya mauaji Kibiti kuwa nyingi Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Hiki ndicho nitawaambia: ombeni kuwa wale wanaotekeleza mauji haya wawe ni watu ambao wako na local issues. Kama vile hapa Kenya tulikuwa na kikundi kilichoitwa MRC - Mombasa Republican Council. Ombeni sawa wasiwe ni wale masehtani ya Al-shabaab au ISIS.
Tatizo ukichanganya Quran inavyofundisha ugaidi na serikali ya bongoinavyowaminya watu bilakuwapa hata matumaini ya kupata ugali bila mboga, watu wenye mioyo midogona vichwa vya panzi lazima watoe damu.
 
Eeh... Hatari... Mchunge bwana bure hamtakuwa na nchi and pray hard that it is NOT home grown terrorism
 
Intelligence ipo vizuri sana kwa sasa. Alipo kuja raisi wa Turkey kuna mambo aliongea na Magufuri kuhusiana na kikundi kimoja cha kigaidi kinacho fadhili baadhi ya shule nchi Tanzania napia kudai nimejo ya kikundi kilichotaka kufanya mapinduzi nchini Turkey. Nachojoa hawa watu awato penya. Naludia kusema hawato penya..
 
Ni ugaidi, hamna sababu ya kupindisha maneno. Kuna watu wanadhani kuwa wataeneza dini yao kwa kuuwa watu wengine. Kuna washenzi wengi wa Pwani, Lindi na Mtwara wanapata mafunzo ya kigaidi Somalia bila shaka ndio wanafanya ushenzi huo.

Serikali na polisi wanaleta siasa na kuogopa kusema ukweli kuwa ni ugaidi kuhofia 'kuwaudhi' baadhi ya watu. Mpango wa Al-Shabab kama ilivyo Boko Haram na ISIS ni kulazimishia watu wengine dini yao kwa kufanya vurugu. Afrika Mashariki yote ipo matatani sababu ya Wasomali waliokuwa brainwashed na waarabu.
Acheni chuki za kidini hatakama dini ya mwenzio huwipendi usiizushie mambo makubwa ambayo hayapo izo nichuki tu zakisiasa mbona hao waliouliwa wengine ni waislam mwenye kitu wa mtaa anahusiana nini na maswala ya kidini acheni kueneza chuki za kipumbavu
 
If its homegrown terrrorism ni kubaya,which I suspect it is,yaani you fight your own country men hujui nani gaidi nani mtu mzuri kama nigeria
 
Yanayoendelea Kibiti ni ugaidi ila siamini kama una muingiliano na alshabab au una msukumo wa Dini. Sababu kubwa ni victims wa mauaji na mazingira ya mauaji

Kibiti wanaouwawa ni viongozi wa kata/mitaa ambao wengi wao ni CCM. Hawaguswi watoto wala wanawake, na wengi waliouwawa ni watu wa dini moja (waislam). Hivyo sina budi kuamini wanaotekeleza mauaji ni watu wenye ajenda ya kisiasa
 
Acheni chuki za kidini hatakama dini ya mwenzio huwipendi usiizushie mambo makubwa ambayo hayapo izo nichuki tu zakisiasa mbona hao waliouliwa wengine ni waislam mwenye kitu wa mtaa anahusiana nini na maswala ya kidini acheni kueneza chuki za kipumbavu

Mimi sio mwanasiasa wala siongei mambo ili kufurahisha watu, ukweli lazima usemwe. Wewe kama ni 'arab wannabe' shauri yako.
 
Yanayoendelea Kibiti ni ugaidi ila siamini kama una muingiliano na alshabab au una msukumo wa Dini. Sababu kubwa ni victims wa mauaji na mazingira ya mauaji

Kibiti wanaouwawa ni viongozi wa kata/mitaa ambao wengi wao ni CCM. Hawaguswi watoto wala wanawake, na wengi waliouwawa ni watu wa dini moja (waislam). Hivyo sina budi kuamini wanaotekeleza mauaji ni watu wenye ajenda ya kisiasa

Lengo kubwa ni kuweka 'dola ya kiislamu' kama ilivyo kwa Boko Haram, ISIS na Al-Shabab. Ili kufikia malengo hayo ni lazima kuhujumu uongozi uliopo kwa kuwaua viongozi. Hao CCM wameuawa kwa kuwa ndio wenye dola.

Hamna siasa yoyote hapo, polisi wanaouwawa nao ni wanasiasa? Acheni uoga wenu wa kusema ukweli kwa kuwa mnaogopa 'kuwaudhi' watu fulani.
 
Lengo kubwa ni kuweka 'dola ya kiislamu' kama ilivyo kwa Boko Haram, ISIS na Al-Shabab. Ili kufikia malengo hayo ni lazima kuhujumu uongozi uliopo kwa kuwaua viongozi. Hao CCM wameuawa kwa kuwa ndio wenye dola.

Hamna siasa yoyote hapo, polisi wanaouwawa nao ni wanasiasa? Acheni uoga wenu wa kusema ukweli kwa kuwa mnaogopa 'kuwaudhi' watu fulani.
Ni nadharia nyingine pia, moja au zote zinaweza kuwa kweli au uongo.
 
Mimi sio mwanasiasa wala siongei mambo ili kufurahisha watu, ukweli lazima usemwe. Wewe kama ni 'arab wannabe' shauri yako.
Pengine wewe unawajua vizuri hao wauaji ni vyema ukaisaidia polis maana paka sasa hakuna report yoyote yenye kueleweka wauaji wanataka nini
 
Back
Top Bottom