Ni kipi chama pendwa zaidi Tanganyika

Ni kipi chama pendwa zaidi Tanganyika

Nice chama kipi pendwa Tanganyika

  • A. CHADEMA

    Votes: 25 92.6%
  • B. CCM

    Votes: 2 7.4%

  • Total voters
    27
FB_IMG_1769182264784.jpg
 
Mada hii ni puta nikupute. enzi za shule utotoni; Jamaa anakaa kati na mchanga mkononi baina ya watemi 2 ; anaputisha mchanga ngumi zinaanza upya, hiyo siku ingine endapo pambano la mwanzo halikutoa mshindi
 
Mpaka sasa chama kilichoshinda kwa ushindi wa kishindo kina kura 2 tuuu.. Ina maana hata makada wake hawakipendi😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom