Muhamala
Senior Member
- Oct 1, 2017
- 101
- 88
Kwema wakuu.
Bila shaka mnamalizia wikiendi kwa utulivu kabisa.
Niende kwenye swali langu moja kwa moja kuwa hivi ninapo nunua/agiza body la gari bila chasis kutoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu ni njia gani ya makadilio ya kodi hutumika ili kupata kiasi cha kodi kinachopaswa kulipiwa pindi body la gari linapokuwa limefika??? Naombeni msaada katika hili wakuu najua humu wapo waliowahi kuagiza body ya gari toka nje ya nchi.
Karibuni kwa michango yenu wakuu.
Bila shaka mnamalizia wikiendi kwa utulivu kabisa.
Niende kwenye swali langu moja kwa moja kuwa hivi ninapo nunua/agiza body la gari bila chasis kutoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu ni njia gani ya makadilio ya kodi hutumika ili kupata kiasi cha kodi kinachopaswa kulipiwa pindi body la gari linapokuwa limefika??? Naombeni msaada katika hili wakuu najua humu wapo waliowahi kuagiza body ya gari toka nje ya nchi.
Karibuni kwa michango yenu wakuu.