madmankache
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 836
- 586
nilipomaliza form six nikisubiri post za chuo,mimi na jamaa yangu tulienda kuomba kibarua ktk maghorofa yaliyokuwa yakijengwa karibu na chuo cha biashara dodoma CBE,Kwa kweli tulikimbia bila malipo kabla kazi haijaisha,nilijua nitakuta vikalai kwa ajili ya kubebea zege kama nilivyozoea vibarua kadhaa nilivyowahi kufanya haha!
sasa siku hyo ilikuwa tunajaziwa zege kweny ndoo ya lita 20 full had juu halaf tunajitwisha had ghorofa ya 3,ngaz za kupandia ni mbao zimepangwa nyingi hv,ukiteleza kwenda chini unaweza kufa,hakuna gloves wala kofia ngumu wala zle buti ndefu full kupauka hakuna hata kitu cha kuweka kichwani kipunguze maumivu kichwani,hakuna wa kukutwisha ndoo,jamaa wana roho mbaya wanajaza had juu ukiwa slow wanakufokea..
tangu saa 2 had saa 6 hv bila kula chochote asubuhi njaa ikawa kali plus ukibonyeza kichwa unaona kinabonyea na maumivu kias chake,miguu imenock kabisa,mgongo unavuta.kadr muda unavyokwenda naona ndoo znabak tupu(watu wanakimbia)
nikamwambia jamaa yangu na sisi tusepe tuu kimyakimya,jamaa akataka tukamwambie foreman labda atatupoza,tukamwambia lakini akasema hatupi hata kumi kwanza sisi mayai sana tuwaache wanaume wapige kazi bas tukasepa zetu kwa miguu had home bahi road km 5 hv,kiu njaa plus uchovu acha kabisa.hiyo sisahau
sasa siku hyo ilikuwa tunajaziwa zege kweny ndoo ya lita 20 full had juu halaf tunajitwisha had ghorofa ya 3,ngaz za kupandia ni mbao zimepangwa nyingi hv,ukiteleza kwenda chini unaweza kufa,hakuna gloves wala kofia ngumu wala zle buti ndefu full kupauka hakuna hata kitu cha kuweka kichwani kipunguze maumivu kichwani,hakuna wa kukutwisha ndoo,jamaa wana roho mbaya wanajaza had juu ukiwa slow wanakufokea..
tangu saa 2 had saa 6 hv bila kula chochote asubuhi njaa ikawa kali plus ukibonyeza kichwa unaona kinabonyea na maumivu kias chake,miguu imenock kabisa,mgongo unavuta.kadr muda unavyokwenda naona ndoo znabak tupu(watu wanakimbia)
nikamwambia jamaa yangu na sisi tusepe tuu kimyakimya,jamaa akataka tukamwambie foreman labda atatupoza,tukamwambia lakini akasema hatupi hata kumi kwanza sisi mayai sana tuwaache wanaume wapige kazi bas tukasepa zetu kwa miguu had home bahi road km 5 hv,kiu njaa plus uchovu acha kabisa.hiyo sisahau