Ndugulusudkucho
Member
- Jan 17, 2017
- 6
- 19
Gape la 4m 4 nlienda kuvua samaki ziwani, asikuambie mtu ziwa linatsha balaa ukutane na upepo na mvua ukiwa katkat ya ziwa, maji ni meusi huwezi amini yan hapo kifo unkiona live bila chenga
Mkuu imagine vle inakuagaAsee mi kutembeza lain za sim asee, nilivyo maliza form four tu niliingiaga kutembeza lain siwez kusahau!!
Myakaya.....Huko kwenu nilikunywa pombe fulani ya muhogo jina nimesahau yamkaya kama hivyo
Daah mambo yake huleta afya ya ukubwani
Unaambiwa uvae tai haaa haaaKuna jamaa mmoja aliniambia kuna kazi ya marketing elimu yoyote ile.Kufika tunapewa vyombo vya ndani tukauze mitaani jamani hii kazi ngumu nilifanya kwa saa mbili tu kurudi nnakuta wenzangu washabwaga manyanga sa nyingii.
Hahahahah kwann unaichukia mremboNilipomaliza form four nilikua nafanya kazi blue kampuni ya mikopo. Nilikua natoka nyumbani kwa miguu naenda kwenye ofisi halafu baada ya hapo tunapangiwa kwenda kutafuta wateja na nauli ya elfu 2, hapo ule na nauli juu. Niliamua kufanya kazi baada ya kujua ntafaulu form four na babu yangu hawezi kunisomesha tena. Mpaka narudi shule sikuwahi kusave hata elfu 50, nilikua naishi nje ya mshahara, form six nikafanya kazi shoppers supermarket, nilikua napata tip sana sema wahindi wakawa wanakataa tusizichukue zinaingia kwenye mahesabu yao, halafu kila cku wakati wa kufunga mahesabu lazima wanikute na shoti wakati najijua sikoseagi mahesabu.
wakati nipo chuo tena nilikuaga nafanya vikazi vya vingine vya ajabu ajabu tu na nilivyokuaga sister duu na watu wananijua nilikua naombaga Mungu nisikutane na watu wanaonijua maana ningewezwa kupigwa hata picha Ila kazi ya kutafuta wateja wa mikopo naichukia mpaka leo.
Hizo kazi za male escort ndo zikoje? Ni hapa bongo kweli?Male escort...wakati mwingine nililazimika ku du na kina Mama waliomzidi umri Mama yangu mzazi....yaani nilikuwa nawa du huku nikitokwa na machozi. Sitorudia tena ile kazi, kuna wengine (vizee) vilitaka nivifile. Jamani dunia kweli haina huruma.
Hizo kazi za male escort ndo zikoje? Ni hapa bongo kweli?
Kwa sababu saa nyingine unaongea na mtu unaona kabisa hatakopa na unamkwaza kumpa habari ambazo ameshawahi kuzisikia, halafu kingine ni wanaume, asilimia kubwa lazima waishie kutongoza na mkopo hawachukui. Ile kazi siitaki.Hahahahah kwann unaichukia mrembo
Ila mpaka saiv bado sistaduu ehKwa sababu saa nyingine unaongea na mtu unaona kabisa hatakopa na unamkwaza kumpa habari ambazo ameshawahi kuzisikia, halafu kingine ni wanaume, asilimia kubwa lazima waishie kutongoza na mkopo hawachukui. Ile kazi siitaki.
Hahahahaaa... nimekua mama mkuu usistaduu nimewaachia wanachuo.Ila mpaka saiv bado sistaduu eh
Hee kwan umeshaolewa?? Me nlkuwa nataka nitupie ndoano ujue!!!Hahahahaaa... nimekua mama mkuu usistaduu nimewaachia wanachuo.
Sijaolewa mkuu nimesema nimekua mama tu. ndoano eeehHee kwan umeshaolewa?? Me nlkuwa nataka nitupie ndoano ujue!!!
Ha ha ha uzur ilikua shule ya shiftShule ulikuwa unakwenda mda gan?... Au ndio kama kakakuona ukionekana shule tu kuna jambo!
Okay poa ngojea bas nijipange nijeSijaolewa mkuu nimesema nimekua mama tu. ndoano eeeh