Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Najua ungekuwa na milioni saba ungeandika ya kumoyo.Nchi inakwenda vizuri haswa, maisha ni safi huduma za jamii zinamiminika kuliko Libya ya Gadaffi, viwanda vya kutosha kazi zipo za kumwaga hali ni nzuri kabisa jamani.
Mungu atupe nini tena