Ni kama nchi imesimama, hakuna kinachoendelea

Ni kama nchi imesimama, hakuna kinachoendelea

Nchi haiko katika wakati mgumu sema ww ndo uko katika wakati mgumu.Tatizo lenu mlizoea vya kunyongwa vya kuchinjwa hamviwezi.Hakuna wakati nchi imetulia kama sahizi asikudanganye mtu mapato ya serikali sahizi yanatumika ipasavyo na kwa taarifa yako pesa iko yakutosha hakuna matumizi ya ovyo sahizi.
Kwani nyanya kuwa elf3 ni mwaka huu tu? au unaleta umbeya? Tatizo unaunganisha matatizo yako kufanya serikali ichukiwe hayo maswala ya bei ya mazao ni historia sio nyanya tu toka enzi matatizo ya hivyo yapo ww unataka kuaminisha watu kisa awamu ya tano ndo hali iko hivo.

Pia kiwanda mjomba hakijengwi siku 1 subira yavuta Kheri hiyo ni mikakati sio ya mwaka mmoja au miwili. Mtaweweseka sana mwaka huu shughuli ndo kwanza inaanza mjomba.
Kama pesa ipo kwa nini hospital hakuna dawa?
Hakuna T.T injection
Tunasubiri za dezo kutoka kwa wahisani.
 
Kwa hali iliopo hata mimi inanisikitisha sana, bado tupo mbali sana na nchi ya uchumi wa kati" kila kiongozi mbabe! Wananchi ndo wahanga"
 
Acha njaa mzee naimani ulichopanda sio unachokivuna kwa sasa pole najua unalilia ndani kwa ndani ila ndo ivyo tena yalishatokea unabudi kusimamia msimamo wako kwa vile mlimpenda wenyewe na nichaguo lenu wenyewe acha muisome namba na camera zenu na matamko yake ya kijinga hakuna hata moja lililo fanikiwa zaidi ya mbembwe
Watu wazima na akili zao badala ya kuhangaika na uchumi na maisha duni ya watu wetu, ati kila Siku ni kukimbizana na akina Lema, Lisu! Utafikiri labda hii ndiyo dira yetu Kama nchi. Nasikitika sana. Garama wanazotumia kukimbizana na wapinzani tangu mwaka huu uanze zingetosha kununua viwanda vingi vidogo vya kusindika mazao ya wakulima wetu. Ili kuwaokoa na hasara hii inayowakabili.
 
Naona ule wimbo wa kuhamia dodoma umeshachuja. Na hata waliouimba wameshapoteana. Hii ni nchi ya vituko. Mwaka ndo unakatika hivyo .
walichopanda sio wanchovuna inabidi wasimamie misimamo yao kwa vile wamepanda wenyewe ila kiuhalisia hata wao wenyewe wanajutia maamuzi yao kumchagua mtukufu asie kuwa na maono anaongea kwa kufurahisha watu ila kiuhalisia avitekelezeki yeye ndo raisi lakini analamika utadhani bado ajachaguliwa ameshapewa nafasi afanye kwa vitendo aache maneno ya kijinga
 
acha unafiki maisha ni mabovu serikali ya awamu ya tano inatekeleza ahadi zake kwenye camera mtukufu hana maono kuna sehemu anataka kuipeleka nchi hii ila ajui ni wapi ndo maana wamebaki kutamka mambo ya kusadikika na kuyaacha na kurukia maengine
Utabaki hapo hapo unaoza.
 
walichopanda sio wanchovuna inabidi wasimamie misimamo yao kwa vile wamepanda wenyewe ila kiuhalisia hata wao wenyewe wanajutia maamuzi yao kumchagua mtukufu asie kuwa na maono anaongea kwa kufurahisha watu ila kiuhalisia avitekelezeki yeye ndo raisi lakini analamika utadhani bado ajachaguliwa ameshapewa nafasi afanye kwa vitendo aache maneno ya kijinga

Halafu wanakuja kusema eti watu wanaandika maneno ya uchochezi!! Tumuombe sana mungu"
 
Acha njaa mzee naimani ulichopanda sio unachokivuna kwa sasa pole najua unalilia ndani kwa ndani ila ndo ivyo tena yalishatokea unabudi kusimamia msimamo wako kwa vile mlimpenda wenyewe na nichaguo lenu wenyewe acha muisome namba na camera zenu na matamko yake ya kijinga hakuna hata moja lililo fanikiwa zaidi ya mbembwe
Watu wazima na akili zao badala ya kuhangaika na uchumi na maisha duni ya watu wetu, ati kila Siku ni kukimbizana na akina Lema, Lisu! Utafikiri labda hii ndiyo dira yetu Kama nchi. Nasikitika sana. Garama wanazotumia kukimbizana na wapinzani tangu mwaka huu uanze zingetosha kununua viwanda vingi vidogo vya kusindika mazao ya wakulima wetu. Ili kuwaokoa na hasara hii inayowakabili.h
walichopanda sio wanchovuna inabidi wasimamie misimamo yao kwa vile wamepanda wenyewe ila kiuhalisia hata wao wenyewe wanajutia maamuzi yao kumchagua mtukufu asie kuwa na maono anaongea kwa kufurahisha watu ila kiuhalisia avitekelezeki yeye ndo raisi lakini analamika utadhani bado ajachaguliwa ameshapewa nafasi afanye kwa vitendo aache maneno ya kijinga
Hahahaa. Mkuu umenichekesha sana. Inatakiwa mtu mmoja jasiri amfate na amnongoneze kuwa. Yeye ndiye Raisi. Wananchi wake wanataka atekeleze aliyotuahi ktk kampeni. Tunataka viwanda alivyotuahidi. Kuhamia Dodoma hajatuahidi, so hatuna haraka nayo sana. Kampeni zilishakwisha, watu tumechoka.
 
pole sana naona tayari povu inabidi uvumilie ndugu zako kijijini wanakula nyasi kumbuka kwenye ATM atuweki kadi za vyama apo ndo utakapo isoma namba vizuri maana ni chaguo lenu wenyewe
Mbona wewe unaisoma hiyo namba tayari?
 
Wakulima wa nyanya ni kilio kila kona ya nchi hii. Sasa hivi tenga moja la nyanya ambalo lina wastani wa kilo 30 bei yake ni Tsh elfu tatu (3000) hakuna juhudi zozote za kuwaokoa hawa wakulima. Waziri anayehusika na viwanda hawezi kufanya lolote la dharura ili kuwaokoa hawa wakulima kwa sababu anaogopa bila sababu. Sasa kama hatuwezi kuhifadhi hata mazao yetu tunayolima, je ni viwanda gani tunafikiri tunaweza kumiliki?

Is this a joke right? May be in Kenyan shillings.
Ni kweli hiyo iringa
 
Nchi haiko katika wakati mgumu sema ww ndo uko katika wakati mgumu.Tatizo lenu mlizoea vya kunyongwa vya kuchinjwa hamviwezi.Hakuna wakati nchi imetulia kama sahizi asikudanganye mtu mapato ya serikali sahizi yanatumika ipasavyo na kwa taarifa yako pesa iko yakutosha hakuna matumizi ya ovyo sahizi.
Kwani nyanya kuwa elf3 ni mwaka huu tu? au unaleta umbeya? Tatizo unaunganisha matatizo yako kufanya serikali ichukiwe hayo maswala ya bei ya mazao ni historia sio nyanya tu toka enzi matatizo ya hivyo yapo ww unataka kuaminisha watu kisa awamu ya tano ndo hali iko hivo.

Pia kiwanda mjomba hakijengwi siku 1 subira yavuta Kheri hiyo ni mikakati sio ya mwaka mmoja au miwili. Mtaweweseka sana mwaka huu shughuli ndo kwanza inaanza mjomba.
miaka 50 tunasubiri viwanda halafu kwa ujasiri unasema eti subira yavuta heri hivi huoni hata aibu kweli
fikra kama hizi ndio zakuziondoa kwenye nchi hii hazina tija kwetu.
 
Mbona wewe unaisoma hiyo namba tayari?
ifike time muwe mnasoma kwa ajiri ya kuelimika mama ako kijijini anakula nyasi wewe umekalia upambe sidhani kama wazazi wako walikuleta duniani ili uwe mpambe wa wanaume badilika unaipa familia yako wakati mugumu kila wanapo kufukiria walijua wamezaa kumbe ndo ivyo tena wamezaa yahaya
 
Nchi inakwenda vizuri haswa, maisha ni safi huduma za jamii zinamiminika kuliko Libya ya Gadaffi, viwanda vya kutosha kazi zipo za kumwaga hali ni nzuri kabisa jamani.

Mungu atupe nini tena
Hongera kama kwenu Huduma za kijamii zinamiminika kwa wingi na maisha yako vizuri lakini robotatu ya Nchi wanalia na bado kidogo benki nyingi zitafunga matawi yake kwenye mikoa mbalimbali.
 
hivi wa kulaumiwa ni nani hasa?

kichwa kinaweza kuwa kinauma kutokana na malaria - huwezi kusema tatizo ni kichwa.
au tumbo la uharo kutokana na food poisoning - hapo uharo umekosa nini?

narudia kuuliza tena.....ni nani wa kulaumiwa wajameni???? "malaria yetu" na "food poisoning" yetu ni nini??
 
Back
Top Bottom