Ni kama nchi imesimama, hakuna kinachoendelea

Ni kama nchi imesimama, hakuna kinachoendelea

Yanathibitika yale tuliyoambiwa kwenye kampeni Kwamba Magufuli hana uwezo kabisa hata wa asilimia 1% kuongoza nchi na chama chake kimekata pumzi ndio haya unayoyaona sasa nchi imegota baada ya miezi mitatu ijayo hata polisi a wanajeshi watakuwa wanaimba wimbo huu wa kwetu
 
Mbona wewe mwenyewe ni kibaraka; tena mkubwa sana?
njaa mbaya sitetei tumbo mwenzio naishi kwa jitihada zangu binafsi hofu ni kwako unaejiona kidume wakati unaishi kwa udananda badirika maana ni aibu kwa familia yako na ukoo wako kwa ujumla
 
Mkuu nchi haijasimama. Watu wanachapa kazi na maisha yanasonga. Maisha hayajawahi kuwa rahisi. Ni kweli changamoto ni nyingi lakini Kikubwa...wewe pambana kwenye nafasi yako uliyonayo. Usaidie familia yako na wategemezi wako (ikiwa ni pamoja na kulipa kodi stahiki za jamhuri). Hayo mengine waachie wenyewe.

Tanzania ya viwanda haitaletwa na serikali. Ukiona nyanya zinaozea shambani..hebu fikiria ni namna gani unaweza kutumia fursa ya kuzisindika. ni wewe na mimi kuona fursa zilizopo na kuzitumia. Ukisubiri kwamba serikali ifanye hili au lile..utasubiri bila majibu.

Mimi nadhani wananchi wengi hatujui wajibu wa serikali. We expect too much from it. Yet the truth is our expectations are in most cases misplaced!

Lets stop complaining! Do something. Hata akitoka Magufuli atakuja mwingine na yeye atakuja na wimbo wake. Mwisho wa siku ni wewe unayeumia na kukosa ufumbuzi wa matatizo yako na jamii inayokuzunguka.

You got it somehow wrong, I am afraid. I don't think people complain for no reason, nor do I think that Tanzanians are lazy bones anyhow. The country is in self-inflicted economic crisis and our leaders in charge of devising and advising economic policies are too proud to swallow their pride and take opposite approach.

As one of the contributors pointed out the leadership is exhausting resources in criminalizing democracy and other issues of the least priority. UKUTA and military show milk scarce resources dry at the expense of concrete economic policies needed to move the country forward. This reminds a buffalo found asleep with a group of starving lions. The buffalo played dead after realizing the lions were getting ready to feed on her flesh. Fight started among the lions and in a blink of an eye every lion got heavily involved. The buffalo opened one of her eyes to only see intense fight among her predators. She walked away slowly and peacefully, no lion paid attention to the fleeing buffalo. The lesson is defining priorities and working on them irrespective of our political or ideological differences! Perceiving some as criminals only because they don't buy to our leadership style would definitely free the buffalo at hand leaving us wounding/killing ourselves.
 
Back
Top Bottom