Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,357
- 108,492
Hizi ndo raha za MMU....
"Muniache"
...halafu lugha hiyo inatumiwa na mtoto wa kiume
Hizi ndo raha za MMU....
"Muniache"
Sasa ulitakaje....mwenzako kapata kichwa ndo mana kakupa mchezo wa haja ili kesho urudi na kweli umenogewa.....na unataka kuchonga mzinga....
kama ulijilinda well and good...its all part of life.enjoy it to the fullest.about the girl,wachache wanasukuma mashine hivyo,kipindi cha nyuma niliwahipata mmoja kama hivyo yaani asubuhi ilivyofika nilihisi amenivunja uti wa mgongo.so few and rare
...benteke si mchezo! That's why JF is always good.
msaidie huyu mdogo wetu ameshapotea kabisa na wala anaona ni fahari sana kusifia dhambi hiyo huku akijisemea amekwenda kavu kavu sijui haoni kuwa anajiangamiza ?
Kwa kweli nashindwa nimuelezeaje.
Ni maji ya kunde sio mrefu wala mfupi yuko kati hivi.
Nilikutana naye kwenye kivuko cha kigamboni jana.
Binti habari yako? Nzuri kaka, nikamuuliza kama mwenyeji Kigamboni, alinijibu sio sana maana ndio ameamia juzi juzi hostel.
Akaniuliza kwani nataka kwenda wapi? Nilimjibu kama anajua beach nzuri ya kupumzika,(Off course nilikua najua naenda wapi ilikua ni zuga tu). Basi akasema yeye pia anaelekea lakini anaenda kwanza hostel kubadili nguo ndio aende Mikadi.
Nikaungana nae. Kameumbika wajameni, nilikula maisha mchana kutwa na giza lilipoanza kuingia tayari alishakua na dompo moja kichwani, mimi nina Safari za kutosha.
Tulikua tumekaa ndani ya kibanda. Hahahaha, kereuuuuwiii ni balaa ,men,the girl can ride. Kwa kweli nililala huko,nimevuka saa tatu leo. Yaani siwezi fanya kazi vile yule girl alivyonifanya namuwaza yeye tu. Lazima nikarudie.
Na Itabidi nitafute nyumba kabisa nihamie huko. Muniwache.
Yaani wewe....nimekusamehe....kweli sister..yaonekana nawe mtoaji mzuri wa mchezo wa haja....tukutane wapi leo jirani tupange ile safari ya zenj...
Walahi lazima week end hii nimtafute huyo mtoto nikambanjue.Kama kawaida kaka sitaki ku inflate soko. 30,000/= ( Elfu selasini)
ngoja niongee na uongozi wa jf wafungue jukwaa la wachungaji. Huku ni mmu dada.
Yaani wewe....nimekusamehe
Sijui wanawake wengine wana akili gani jamani. Yaani mtu kakuongelesha maneno machache tu basi ushamvulia nguo khaaa!!!! Kweli mwisho umekaribia sana!
Tatizo mmekariri sana. Mambo yanaenda na wakati. Watu hawana mda wa kutongozana eti week unaomba papuchi. Baba hii ni digital, soft touch hata kivuli tu kinaweza activate. We endelea kukariri kama sisiemu walivyokariri serekali mbili.
Haya mpenzi....naja......haya mpz....usimind bana...njoo skype basi...