Ni kama naota vile, siamini

Ni kama naota vile, siamini

msaidie huyu mdogo wetu ameshapotea kabisa na wala anaona ni fahari sana kusifia dhambi hiyo huku akijisemea amekwenda kavu kavu sijui haoni kuwa anajiangamiza ?
uwezo upi wa wewe kutumia viungo ulivyopewa na Mungu kutenda dhambi na kuja hapa kujisifu na kujitangaza?
 
Wala Mkuu... Mi sio mmoja wapo ila najitahidi kuyaishi maisha nayopaswa kuishi.

Naamini mimi ndio Bosi pekee wa tamaa zangu.. na huu mwili nimepewa mamlaka yote juu yake.
Naamini Pia sio lazima nifanye kila kitu kwa kuwa kila mtu anakifanya.
Naamini mimi ni wa kipekee na sihitaji kufanana na yeyote kwa kuwa mungu kamleta kila mtu duniani kwa kusudi lake. Naamini pia sihitaji kupendwa na watu kwa kuwa nafanya maovu wapendao wao maana ninawajibika kwa binafsi yangu kwa kila nachokifanya au kukisema chini ya anga na juu ya anga naloliona.
Naamini Mimi sio wa muhimu zaidi ya mwingine lakini pia sio dhaifu zaidi ya mwingi ila ni wa thamani sana niliyekombolewa pia kwa uthamani.
Nakubali pia mimi ni mshamba, old fashioned, sijui kila kitu.

mkuu Tized mimi huwa napata faraja kujua kuwa angalau kati ya wanadamu wa sasa kuna watu wenye utu na wanaoyaona mabaya na kuyachukia kama ninyi nafarijika sana maanake hali kwa sasa inasikitisha aisee Mungu tu mwenyewe atunusuru..
 
Amenasa tayari... labda greda ndio litamuondoa huyu aisee!!
mkuu bora umsaidie mdiogo wako yaelekea ameshapoteza dira haoni wala hasikii chochote yeye anaona fahari tu kujisifia maujinga yasiyofaa na yasiyopendeza hapa msaidie kuutoa huo u:wave: wake
 
Kwa hiyo unataka utuambie huyo binti ni kama maharage ya Mbeya au?
 
siwezi kufanya upuuzi huo ndugu yangu yakufaa ujisalimieshe maisha yako upya na uvae utu upya acha mambo ya dhambi hayafai mdogo wangu yanakuangamiza bure
Badala ya kuniombea mamdo yaende vizuri
ili upate tenda ya Kwa anayehitaji huduma hizi:
* Kutengenezewa Keki * Wedding cards design
* Mc & hall/open space decoration- KARIBU
 
Najua hupendi kusifiwa hata kidogo you once said that Tized but one thing i want to say i love that attitude of yours and it makes me happy knowing that there are still people who hate badness in this wicked world keep it up mkuu.
Wala Mkuu... Mi sio mmoja wapo ila najitahidi kuyaishi maisha nayopaswa kuishi.

Naamini mimi ndio Bosi pekee wa tamaa zangu.. na huu mwili nimepewa mamlaka yote juu yake.
Naamini Pia sio lazima nifanye kila kitu kwa kuwa kila mtu anakifanya.
Naamini mimi ni wa kipekee na sihitaji kufanana na yeyote kwa kuwa mungu kamleta kila mtu duniani kwa kusudi lake. Naamini pia sihitaji kupendwa na watu kwa kuwa nafanya maovu wapendao wao maana ninawajibika kwa binafsi yangu kwa kila nachokifanya au kukisema chini ya anga na juu ya anga naloliona.
Naamini Mimi sio wa muhimu zaidi ya mwingine lakini pia sio dhaifu zaidi ya mwingi ila ni wa thamani sana niliyekombolewa pia kwa uthamani.
Nakubali pia mimi ni mshamba, old fashioned, sijui kila kitu.
 
Last edited by a moderator:
Nakushukuru sana Mkuu Blue G, Barikiwa sana.

Its very encouraging yet undeserving feeling to note there are great minded people of your calibre who appreciate Young Tized. Its an Honor Sir!.

Many Thanks.

Najua hupendi kusifiwa hata kidogo you once said that Tized but one thing i want to say i love that attitude of yours and it makes me happy knowing that there are still people who hate badness in this wicked world keep it up mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe jana umengonoka eeeeh basi sawa tumeelewa
 
Na benteke umsikie dada yako.

''Mtu hujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe, tamaa ikiisha kukua kuzaa dhambi, dhambi ikiisha chukua mimba na kukomaa huzaa MAUTI''

(TAMAA >>> DHAMBI>>>> MAUTI)

We mwenyewe ndio una ufunguo. uamue ufunge au ufungue.. Ila mwisho wake HUWA upo GUARANTEED.

siwezi kufanya upuuzi huo ndugu yangu yakufaa ujisalimieshe maisha yako upya na uvae utu upya acha mambo ya dhambi hayafai mdogo wangu yanakuangamiza bure
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa.. ngono zembe sio?
Nakupa scenario moja:
Mtu ametumia Condom, sawa? lakini before hio kondom... amefanya romance la nguvu... na fore plays zote uzijuazo na usizozijua? Ni nini nafasi ya condom kuzuia maambukizi kama mmoja wapo amesababisha mchuboko au ana kidonda sugu au hata amajingata au hata amejiumiza kkwa mswaki au pengine kuna pipele amekipasua sehemu gusanishi?

Chances are Condom itasaidia sehemu moja tu. kwingine vipi? is this still the best option?

mi huwa nafikiria eti wanaofanya na hao wa kukutana barabarani huwa hawana mambo ya romance wakifika ni kuvaa mpira na kuanza kugegeda tu.
 
nikweli ndugu yangu ila tuawasaidie naona mhemko ya miili yao inawapeleka pabaya tu hawa wadogo zetu
na uenda ameshaa........... maskini mzazi wake akijua kijana wake alivyo nahisi atachizika sana na kuwa mental
Amenasa tayari... labda greda ndio litamuondoa huyu aisee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom