ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
msaidie huyu mdogo wetu ameshapotea kabisa na wala anaona ni fahari sana kusifia dhambi hiyo huku akijisemea amekwenda kavu kavu sijui haoni kuwa anajiangamiza ?
uwezo upi wa wewe kutumia viungo ulivyopewa na Mungu kutenda dhambi na kuja hapa kujisifu na kujitangaza?