Ni kama naota vile, siamini

Ni kama naota vile, siamini

kama ulijilinda well and good...its all part of life.enjoy it to the fullest.about the girl,wachache wanasukuma mashine hivyo,kipindi cha nyuma niliwahipata mmoja kama hivyo yaani asubuhi ilivyofika nilihisi amenivunja uti wa mgongo.so few and rare
 
You are potraying true images of chauvinist dude; aint a thing to have guts and put them here? What for, self esteem? Upuuzi tu
 
Mimi kuna mabinti wazuri wanakujaga kuchukua dawa za kurefusha sijui wanaitwa mama salma ukiwaona huwezi amini kama wana mdudu.. Ni hatari sna
 
You are potraying true images of chauvinist dude; aint a thing to have guts and put them here? What for, self esteem? Upuuzi tu

Mimi kuna mabinti wazuri wanakujaga kuchukua dawa za kurefusha sijui wanaitwa mama salma ukiwaona huwezi amini kama wana mdudu.. Ni hatari sna
 
Mimi kuna mabinti wazuri wanakujaga kuchukua dawa za kurefusha sijui wanaitwa mama salma ukiwaona huwezi amini kama wana mdudu.. Ni hatari sna

Kurefusha maisha mkuu? Kawaida sana watu wana wadudu na bado wanaita hatari na ni shida sana
 
weka mbali na watoto hatareee.
 
Naona umeamua kuchepukia kwenye pantoni......
 
Mmmmmh.....Mbona ninashaka na huo mkubalio waharaka hivyo,I wish kungekuwa na kipimio cha kupima hiyo k kujua niwatu wangapi waliopitia hapo,ningekushauri uipime kwanza. Tuone kama utatamani kurudi kwa huyo dada tena!!!
 
Ukirudi uwahi kulala uendeleze ndo yako
 
alafu kesho na keshokutwa utakuja hapa ooh nimemfumania, sasa unategema nini kwa mwanamke kama hyo?
 
hivi kale kamfuko ka plastic ulikumbuka au ndio unataka kuandkia urith familia yako mapema.....nwei poleee
 
you are welcome sir Tized.
Nakushukuru sana Mkuu Blue G, Barikiwa sana.

Its very encouraging yet undeserving feeling to note there are great minded people of your calibre who appreciate Young Tized. Its an Honor Sir!.

Many Thanks.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom