roma mnazarety
Member
- Dec 5, 2013
- 94
- 15
Duh
Dem leo leo tu
Thats too much
Dem leo leo tu
Thats too much
Kavu noma mkuu, pale wanauza waudumu. Kuna round niliagia Safari na Ndom. Ila nilizificha kwanza maana ishu ilikua bado chengachenga.
Dah..ujana ni raha sana, hakuna ratiba inayokubana. Yani umeamua kulala kigamboni? hahahahahah, wakati mwingine mtu akiniita ''WE KIJANA'' huwa sijisikii vizuri, haya mkuu tumekuacha......
Mkuu hii ni weakness ya dunia, wewe huni nyumba ya gharama watu wanaweka vitasa vya bei rahisi, wengine hata milango ya kichina..Hapa ndio pale Mtu umevaa mavazi na nguo zenye thamani ya 500,000 jumlisha na salio lako mfukoni jumlisha na THAMANI ya uhai wako halafu UNAKIAMINI KITU CHA SHILINGI MIA MOJA AU MIA TATU AU HATA 2000 KIKULINDE? haya bhana.
,ukute amegonga kavu ukimwi hata huogopi !!,you are sujected to this situation "EPUKA NGONO ZEMBE"
Hapa ndio pale Mtu umevaa mavazi na nguo zenye thamani ya 500,000 jumlisha na salio lako mfukoni jumlisha na THAMANI ya uhai wako halafu UNAKIAMINI KITU CHA SHILINGI MIA MOJA AU MIA TATU AU HATA 2000 KIKULINDE? haya bhana.
Mkuu hii ni weakness ya dunia, wewe huni nyumba ya gharama watu wanaweka vitasa vya bei rahisi, wengine hata milango ya kichina..
Badala ya kuniombea mamdo yaende vizuriyaani amemuamua kutualetea kauzi hapa ambako hakaeleweki kumbe anajipalia makaa shingoni mwake
nami nampa pole sana hajui kuwa ameshajimaliza
Ni kweli yote unayosema sasa tufanyaje hamna jinsi, ni lazima nifanye mapenzi na mwanamke. Mwanaume kamili inatakiwa angala Mara tatu kwa week afanye maenzi na mwanamke. Unafiki sijui hatari zote ndugu.
Sasa ulitakaje....mwenzako kapata kichwa ndo mana kakupa mchezo wa haja ili kesho urudi na kweli umenogewa.....na unataka kuchonga mzinga....Ah,Sisteeer.
Hahahaaa.. Mchina kakwepeki kirahisi siku hizi.
Nachotaka kusema kuna haja ya kujizuia kuliko kufungulia ukiamini condom kiasi hicho. kondom yenyewe shs mia ndio unalindia uhai wako?
Kwa wenzetu wazungu ukienda kununua utakuta kuna warieties kama laki nane hivi? kila aina ya tukio ina yake, kama ni kwa HIV aids, Mimba, romance, kinyume na nanii, pleasure n.k. niliwahi ona mahali hapa mjini aina flani hivi wanauza 16,000. lakini hizi wanaotaka kutuaminisha ndo hizo unasikia mara contena feki limekamatwa mara nini nini?
Mara tatu kwa wiki afu sio mkeo? ni hao wa kuokoteza + biere? HONGERA SANA KAKA.
Endelea kuamini hivyo na endelea kula raha aisee. kwa nini ujizuie bana, raha zipo, wanawake warembo sana wapo na kondomu si zipo bana? Hela ipo, shida ni nini? Keep the momentum going bro.. Kila apandacho mtu Mkuu kuna wakati pia atavuna kutoka katika yale aliyoyaotesha.
Aaminivyo vtu nafsini mwake, ndivyo alivyo.