benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
- Thread starter
- #41
benteke hope you know what you are saying!!!!!!!!!!!!kwa ufupi tu naomba nisizunguke sana ila nikwambie tu kuwa umepotea wala si jambo la fahari kujisifiia ujinga kama huo aint a deal men its useless na nionavyo mimi hakuna anyekuunga mkono katika wote waliotoa comments zao so shtuka ujione umekosea njia kupost kitu kama hii and mind you this tamaaaa mbele mauti nyuma:rip: :rip: :rip: kila la kheri kijana
Ebu niambieni basi wake zenu kabla hamjawaoa mliwapataje. Si lazima ulitafuta. Na kutafuta mke unatafutaje sasa.