pancras utenga
Member
- May 25, 2016
- 63
- 45
Habari zenu wanajf,,,
Mimi mwenzenu ninakama wiki na kitu sasa nimekuwa nikiishi kwa hofu na woga sana,, nashindwa hata kuelewa in kwanini
Naombeni ushauri jamani namna ya kuishinda hii hali...
Mimi mwenzenu ninakama wiki na kitu sasa nimekuwa nikiishi kwa hofu na woga sana,, nashindwa hata kuelewa in kwanini
Naombeni ushauri jamani namna ya kuishinda hii hali...