Ni Jambo gani unaloweza kusema Rais Samia hajatekeleza?

Mama tunashukuru kwa kujenga shule nyingi nchini na pia hakuna walimu ni jambo zuri sana usiwalete tu hao waalimu waache waendelee kusota mtaani KWANI watoto watajifundisha wenyewe mpaka waelewe tuu
 
Jinga namba moja la taifa. Umeme mgawo wala haliwezi sema,kila siku kusifia. Shetani kufa wewe, Mungu chukua hili lishetani hasara haraka
 
Mama tunashukuru kwa kujenga shule nyingi nchini na pia hakuna walimu ni jambo zuri sana usiwalete tu hao waalimu waache waendelee kusota mtaani KWANI watoto watajifundisha wenyewe mpaka waelewe tuu
Serikali ya Rais samia imetoa ajira nyingi sana za ualimu na itaendelea kufanya hivyo kwa kadri uchumi wetu utakavyo ruhusu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…