Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,955
- 5,877
matatizo gani tena mkuuUjue we una matatizo sana…...pole sana
matatizo gani tena mkuuUjue we una matatizo sana…...pole sana
naomba tafsiri yako ya ustaarabuWazungu ni wetu walituletea ustaarabu.
Walituletea Biblia (Neno la Mungu) tukamjua Mungu wa kweli na wa pekee, Mungu wa Israeli, YEHOVA YWHW.
Ikiwa pamoja na kutufanyia hayo yote hadi leo waafrika wanaabudu mapangoni, ingekuweje kama wasingekuja huku gizani.
"dark continent"