Ni hatari! Vijana wengi hawatumii kinga

Ni hatari! Vijana wengi hawatumii kinga

Inawezekana umetumia ila vitu vingine ni mpaka pale utakapoulizwa.
 
Lakini mabinti pia ni sehemu ya tatizo,niliwahi toka na dada mmoja mrembo mno.akanambia hawezi tumia condom inamuumiza k yake ni ndogo,nikamlazimisha tukapime,hilo lilifanyika tukainjoi sana.sasa mtu kama huyu angekutana na jitu lisilojali ingekuweje

kaka OKWI BOBAN SUNZU:ni vema sana kwa maelezo yako inaonekana hakuwa mchumba wako bali mlikutana sehemu flani kwa vile yeye ni Mzuri sana ukatongoza ukakubaliwa na uka "mlazimisha"mkapime....safi sana.je kwa hali ya kawaida nani ambae amewahi kukutana na mwanamke mzuri akamwambia tukapime/wanaume wengi wanaogopa hii hatua kwa sababu 2.
1.Anaogopa mdada wa watu atamkosa,atakimbiwa fasta,na ndege kumkosa hii ipo sana.
2.Hana uhakika na afya yake yeye mwenyewe
3.Mwanamke mwenyewe ambae katongozwa badala ya kuonyesha njia kwamba hapa papuchi haitoki mpaka tukapime nae anaogopa,sijui wanaogopaga nini wakati wao wanabembelezwa ktk kutongozwa na hatua ya mwanzo mwanamke ndo anakuwa na NGUVU SANA Juu ya mwili wake hasa kabla ya kumkubalia mwanamume,sijui kwanini wanashindwa kutumia hiyo nafasi.
4.Tatizo la Tanzania kama sio Africa ukipima eti majibu ya uhakika mpaka miezi 3,hizi ndo longolongo ambazo zinakatisha watu tamaa,mimi sio Daktari lakini nafikiri nchi kama ujerumani au Ufaransa hospitali zao kuna reagent/chemical ambazo akikupia tuu siku hiyo hiyo inaonyesha majibu yako ya wakati huo,sio Tz ohh virus sijui anakaa mda fulani ndo ajitokeze,sijui anajibadilisha,sababu ni nyingi,sijui anafanyaje?....ndo tatizo la vitu vya bure,kupima bure,chemical zenyewe zinazotumika kupima huenda wamepata kwa bei chee/Ruzuku,ndo humo humo tuuu.
Pima fasta majibu fasta ndo mpango mzima.
HONGERA OKWI BOBAN SUNZU KWA "KUMLAZIMISHA KUPIMA"Mwingine utasikia kwani unanioa,au sijajiandaa,au anakupotezea mazima...
 
Lakini mabinti pia ni sehemu ya tatizo,niliwahi toka na dada mmoja mrembo mno.akanambia hawezi tumia condom inamuumiza k yake ni ndogo,nikamlazimisha tukapime,hilo lilifanyika tukainjoi sana.sasa mtu kama huyu angekutana na jitu lisilojali ingekuweje

Hahaha kijana hongera ila sijui Kama wale mnaokutana nao mkiwa sight kwenye kusaka nyoka huwa mnapima nao.
 
B ila kondom inataka moyo... Labda ukute mchepuko hauna mvuto sana... Ila kama unavutia... mmmmmmh!!! Mungu tu ndo anawalinda waja wake?

B jana ulitumia kwani...???

Ni kweli.. b .. jana sikumbuki kama ulivaaa
 
Yataka moyo kuvaa maana jinsi wadada wanavyoiachia Mbunye kiuchokozi wakati wa maandalizi..hatareeeeee
 
kwani b ulikuta sijafunguliwa

teh teh teh..... B na we una vituko... Nilikuta tayari mlango u wazi.. Ila haukufunguliwa wote.. So na mwili wangu huu, ilikuwa shida kuingia mzima mzima.. Lakini nashukuru sababu ulikuwa unajiburuza chini, ila kwa sasa tushaurekebisha.. Ni kupita tu!!!!!!:msela:
 
teh teh teh..... B na we una vituko... Nilikuta tayari mlango u wazi.. Ila haukufunguliwa wote.. So na mwili wangu huu, ilikuwa shida kuingia mzima mzima.. Lakini nashukuru sababu ulikuwa unajiburuza chini, ila kwa sasa tushaurekebisha.. Ni kupita tu!!!!!!:msela:

Ha ha safi sana b..... basi usiwe mwoga
 
Wakati mwingine kuvaa sio shida ila matumizi ni shida.Mara yingi sana condom hupasuka pia.Watu wengi wanakumbana na upasukaji wa condom
 
Kuna kipindi nilitaka kunogewa na kavu....ila baada ya kupima dah nimeapa siendi kavu labda demu akubali kupima!!
 
Wakati mwingine kuvaa sio shida ila matumizi ni shida.Mara yingi sana condom hupasuka pia.Watu wengi wanakumbana na upasukaji wa condom

Wachina wamevamia mpaka soko la kondomu, kazi ipo
 
Back
Top Bottom