Ni hatari! Vijana wengi hawatumii kinga

Ni hatari! Vijana wengi hawatumii kinga

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,731
Umeshawahi kupiga stori na washikaji wako hukusu jinsi alivyotoka na flan? Atakuhadithia mambo yote pamoja na kunogesha story, lakini kuna scene moja ya kuvaa kinga huwa hawaitaji. Unakuta anakwambia kwamba alilala nyumbani kwa mdada lakini katika movie yake huoni ni wapi alifanya jitihadi za kutumia kinga.

Hii ni hatari. Kutoambukizwa magonjwa ya zinaa kwa vijana wengi ni matokeo ya kutembea na mtu negative, maana ukisikiliza stori zao, huoni kama kuna mahali walichukua precaution ya kujikinga!
 
guys...dont be fools..vulcanize your tools..as the right selection is to protect your erection...and never make a mistake not to cover your snakes..
 
Kula pipi na maganda yataka moyo,utamu unachelewa kufika
 
Umeshawahi kupiga stori na washikaji wako hukusu jinsi alivyotoka na flan? Atakuhadithia mambo yote pamoja na kunogesha story, lakini kuna scene moja ya kuvaa kinga huwa hawaitaji. Unakuta anakwambia kwamba alilala nyumbani kwa mdada lakini katika movi yake huoni ni wapi alifanya jitihadi za kutumia kinga.

Hii ni hatari. Kutoambukizwa magonjwa ya zinaa kwa vijana wengi ni matokeo ya kutembea na mtu negative, maana ukisikiliza stori zao, huoni kama kuna mahali walichukua precaution ya kujikinga!

hivi chumvi huzungimziwa walati wa kula? utasikia kuhusu nazi na biriani ila chumvi ikizidi au kupungua ndo utasikia
 
guys...dont be fools..vulcanize your tools..as the right selection is to protect your erection...and never make a mistake not to cover your snakes..
Tyta Hii lugha ya yesu mie naona chenga,ntafsirie please
 
Last edited by a moderator:
Lakini mabinti pia ni sehemu ya tatizo,niliwahi toka na dada mmoja mrembo mno.akanambia hawezi tumia condom inamuumiza k yake ni ndogo,nikamlazimisha tukapime,hilo lilifanyika tukainjoi sana.sasa mtu kama huyu angekutana na jitu lisilojali ingekuweje
 
Lakini mabinti pia ni sehemu ya tatizo,niliwahi toka na dada mmoja mrembo mno.akanambia hawezi tumia condom inamuumiza k yake ni ndogo,nikamlazimisha tukapime,hilo lilifanyika tukainjoi sana.sasa mtu kama huyu angekutana na jitu lisilojali ingekuweje



HONGERA MKUU, mm binafsi bila condom ni BIG NO...! tena mm kwenye pochi yangu huwezi kosa hiyo kitu, sometimes boy wangu huwa hanielew eti lazima nitakuwa kicheche lkn huwa namwambia maisha yangu ni yangu ni lazima niyalinde kwa nguvu zote...!
 
Back
Top Bottom