Ni hatari sana kulala na mtungi wa gesi ndani.

Ni hatari sana kulala na mtungi wa gesi ndani.

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,505
Tena ile ambayo ni mikubwa mirefu inayotumia mipira ni hatari sana, bora ile midogo ya kawaida.

Ikiwezekana mtungi unatakiwa ukae nnje halafu unauchimbia chini kidogo unaujengea ukuta juu unaweka kifuniko cha zege au cha bati unaweka kufuli, halafu mpira unatoboa ukuta kiufundi unaingia ndan kwenye jiko.
 

Attachments

  • SnapInsta.to_AQPTOMFHfxdBE72MuNTYKPLHis1CvbIntxp9T5VhltpNQg81cY_91yBUZizKIY-a6TZjmDt88l2wcVsvM...mp4
    11.3 MB
Sidhani kama hiyo inasaidia kama bongo wanamiliki teknolojia ya kuiba hadi kamera za madaraja makubwa, washindwa kuyeyusha hivyo vyuma wabebe mzigo wao, bongo teknolojia ya wizi iko juu sana kuliko sekta yoyote ile.
Niite nikupe ramani ya kujengea mtunngi ukiibiwa mimi nitalipa
 
Back
Top Bottom