Elections 2010 Ni halali kuchagua viongozi washirikina?

Jile79

JF-Expert Member
May 28, 2009
17,668
13,237
Tangu sheikh yahaya ajipambanue kwa watanzania kuwa yeye ndiyo mchawi na mlinzi mkuu wa kikwete kwa kutumia majini, si kikwete wala makamba wala kinana wala riziwani wala salma kikwete aliyekanusha ulinzi huo wa kichawi wa yahaya kwa kikwete....Kwa Tanzania ya sasa ni sahihi kweli kumchagua kiongozi wa nchi mshirikina na ambaye yuko tayari wananchi wake watishwe na mganga wake?
"HERI WASIOENDA KATIKA NJIA YA WASHIRIKINA"
 
Sijawahi kuona nchi imeendelea kwa wananchi wake kutishwa na wachawi wa viongozi wao.......ni tanzania tu ambako tuna viongozi mambumbu
 
Tangu sheikh yahaya ajipambanue kwa watanzania kuwa yeye ndiyo mchawi na mlinzi mkuu wa kikwete kwa kutumia majini, si kikwete wala makamba wala kinana wala riziwani wala salma kikwete aliyekanusha ulinzi huo wa kichawi wa yahaya kwa kikwete....Kwa Tanzania ya sasa ni sahihi kweli kumchagua kiongozi wa nchi mshirikina na ambaye yuko tayari wananchi wake watishwe na mganga wake?
"HERI WASIOENDA KATIKA NJIA YA WASHIRIKINA"[/QUO

Na wewe na ujinga siku hizi ..duhh
 
Na hili ndilo linalonishangaza sana

tangu sheikh yahaya ajipambanue kwa watanzania kuwa yeye ndiyo mchawi na mlinzi mkuu wa kikwete kwa kutumia majini, si kikwete wala makamba wala kinana wala riziwani wala salma kikwete aliyekanusha ulinzi huo wa kichawi wa yahaya kwa kikwete....kwa tanzania ya sasa ni sahihi kweli kumchagua kiongozi wa nchi mshirikina na ambaye yuko tayari wananchi wake watishwe na mganga wake?
"heri wasioenda katika njia ya washirikina"[/quo

na wewe na ujinga siku hizi ..duhh
 
unajua katika hii dunia kuna mambo mengi,wazungu ambao leo tunawaona wameendelea katika karne ya 15 na kurudi nyuma walikuwa wanapenda sana uchawi lakini as time went na hasa baada ya industrial revolution katika nchi zao wakaona uchawi hauna ishu tena katika maendeleo ya nchi ama ya mtu binafsi, so huyo sheikh Yaya kwa ufahamu wangu mdogo kuhusu yeye najua ni mtabiri wa nyota sasa hizo kazi za ulinzi wa kishirikina kwa Rais ameanza lini,ama ndio mbwembwe z kutafuta umaarufu mjini
 
mimi sio mshabiki wa uchawi. Ila swala la mtu na mungu wake ni binafsi. Mimi namwamini Mungu wa mbinguni, na siwezi kumlaumu mtu anaye amini wachawi, majini (yani mashetani). Kazi yangu (na yako) ni kumpa ushaidi kwamba Mungu wangu ndo Mungu wa ukweli. Ila kwasababu na sisi tunaojifanya kwamba tuna Mungu wa ukweli lakini matendo yetu na tabia zetu ni kama wao, wenzetu wanashindwa kuelewa Mungu wetu na miungu yao ina tofauti gani. kazi yangu na kazi yako ni kuwathibitishia wanaoamini uchawi kwamba Mungu wa Mbinguni ndo Mungu peke wa kuabudu, au sivyo lets not make noise at them when we havent settled our relationship with our God. Na kibaya zaidi, wote mbele za Mungu sote ni wadhambi hakuna aliye na upper hand.
 
Back
Top Bottom