Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Tangu sheikh yahaya ajipambanue kwa watanzania kuwa yeye ndiyo mchawi na mlinzi mkuu wa kikwete kwa kutumia majini, si kikwete wala makamba wala kinana wala riziwani wala salma kikwete aliyekanusha ulinzi huo wa kichawi wa yahaya kwa kikwete....Kwa Tanzania ya sasa ni sahihi kweli kumchagua kiongozi wa nchi mshirikina na ambaye yuko tayari wananchi wake watishwe na mganga wake?
"HERI WASIOENDA KATIKA NJIA YA WASHIRIKINA"
"HERI WASIOENDA KATIKA NJIA YA WASHIRIKINA"