huu ni upupu, unajiuliza mwenyewe kisha unajijibu mwenyewe. We ni shostio mwanzo mpaka mwishoni aki kwasababu cha mpz wako chako na cha kwako chake,mbali na ivyo ni inaonyesha uaminifu lakini kama mmoja apendi basi yy ni msaliti,pia inakupa uhuru kwake na kwako.
ni aki kwasababu cha mpz wako chako na cha kwako chake,mbali na ivyo ni inaonyesha uaminifu lakini kama mmoja apendi basi yy ni msaliti,pia inakupa uhuru kwake na kwako.
Kuna kitu kinaitwa Privacy.. mahusiano yasiokua na chembe ya Privacy ndo hio usumbua saana maana mnanyimana breathing space.. naamini kua mjanja wa kuchanganya wenza sio mzembe kiasi cha kuwasiliana nae kimahaba kwa message au kumsave under AshaDii.. zaidi zaidi ataweka Alex au hata Prof AshaDii kuonesha ni mtu na heshima zake ili usimhusishe katika mawazo yako ya kushuku... Wanokamatwa na messages ni wale ambao sio wataalam na kufanya kwa kuiga hivyo si fani yao...
Enways mitazamo imetofautiana...
Kuna kitu kinaitwa Privacy.. mahusiano yasiokua na chembe ya Privacy ndo hio usumbua saana maana mnanyimana breathing space.. naamini kua mjanja wa kuchanganya wenza sio mzembe kiasi cha kuwasiliana nae kimahaba kwa message au kumsave under AshaDii.. zaidi zaidi ataweka Alex au hata Prof AshaDii kuonesha ni mtu na heshima zake ili usimhusishe katika mawazo yako ya kushuku... Wanokamatwa na messages ni wale ambao sio wataalam na kufanya kwa kuiga hivyo si fani yao...
Enways mitazamo imetofautiana...
Naanza kuwa na mtazamo tofauti na nilivyokuwa nakufikiria katika michango yako ya awali ... anyway naendelea kukusoma!
Mh, Ashadii kwa kweli hapo umeniacha hoi, hata wewe shosti?