Ni haki demu kuchelewa kukupa papuch mbka mda atakaotaka yeye?. Hali hii inawapata sana wale wanaume wachovu ambao hawajui kutetea haki zao za msingi. Unakuta umeanza mahusiano na demu ila kukupa mbka ajifikirie sijui, maringo mengi. Wanaume wengi yanawakuta haya japo kwa upande wangu sijawai kukutana nalo hili.Hiv kina dada huwa mnataka nini eti?? Inamaana nyinyi kweli huwa hamna uhitaji?? Mambo mengine huwa mnajitakia wenyew kama kuachwa nk.,Wanaume leo tudiscus hili suala kwa kina ili tutokomeze tabia hii mbaya sana na imekuw sugu kwa kina dada.NAWAKILISHA.
Sent from my iPhone using JamiiForums