Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Itv ni station inayoangaliwa na watu wengi tz ni kituo mama tz.ila kwa hili star tv watapata hadhira wengi sbb raia wengi wanataka kuona list of shame ya walioficha madola uswiswi...kwa namna nyngne zito tayari kashateka mind za watu kwa style yake yakutaja hayo majina na weng wanataka kujua hayo majina nakm mbowe naye atatajwa
 
Vp ni kweli mama yake zito naye alikuwa na acc nche ya nchi?
 
Kwani ni mashindano? Kwenye mdahalo mbona Slaa alikimbia? Huyo Paroko hana uwezo wa kupambana na Msomi Zitto!

Slaa size yake ni Mch Ngwajima ,Mch Lwakatale ,Mch Mwingila

There is joy in madness that only madmen like you kinky know
 
ACT-TANZANIA/WAZALENDO waliamua kupanga muda mmoja na Dr Slaa wakidhani wanaweza kuharibu watu kufuatilia mkutano wa chadema. ACT sio size ya chadema,subirini kifo chenu. Kesho ITV LIVE
 
Unajua maana ya hadhara?maana yake umati au mkusanyiko wa watu.

Matangazo ya TV yanarushwa kwenye hadhara,kwa watu wengi.

Mkutano wowote unaoonyeshwa kwenye TV unaonekana kwa kila mtu aliyeswitch stesheni hiyo, hivyo ni mkutano wa hadhara,hadharani.
Inategemea kwa maoni yako, lakini kiukweli kuonyeshwa kwenye tv katika mikutano hii ya siasa siyo inayotafasiri kikao cha ndani au hadhara. Kama uliangalia kampeni za marekani, kuna mikutajo ya ndani ilikuwa inaonyeshwa kwenye tv. Hata hivyo karibuni tu tutakuwa na kikao kikubwa kabisa cha ccm ambacho pia kitakuwa cha ndani kuteua mgombea wao wa urais. Kikao hiki kitaonyeshwa kwenye tv. Bunge linarushwa kwenye tv, lakini bado ni kikao cha ndani! Kitu dhairi cha Mkutano wa hadhara hauna kizuizi cha mtu anayehudhuria!
 
Mbona mnalia lia? hicho kikundi cha kisaliti lazima kife october

nan alie lie pollen kwa kukosa usingizi et kuongea na wazeee ha ha haaa vijana kamwachia nan? ndo ajue kashaexpire kisiasa
 
ACT-TANZANIA/WAZALENDO waliamua kupanga muda mmoja na Dr Slaa wakidhani wanaweza kuharibu watu kufuatilia mkutano wa chadema. ACT sio size ya chadema,subirini kifo chenu. Kesho ITV LIVE

nan aliyeanza kutoa ratiba ya kuwa na mkutano jmos? na nan asiyejua kua chadema hupita alikopita ZZK kuziba makovu? yaan ninyi mmesikia mwembeyanga usingiz ukakata ghafla ikabid mumtume huyo babu bahat nzur hana athar coz atakua anaongea na wazee na hata vijana watakaoenda n wenye fikra za kibabu
 
Ni Dhambi kumlinganisha huyu Kasisi aliyefukuzwa kanisani kwa dhambi ya uasi. Na kijana Mzalendo Zitto, Slaa atapotezwa tu!
 
Makamanda wote wakuwa Mwembeyanga.
 
NASHUKURU SANA
CHANNEL TEN; BIG UP..................................................................

NYIE NI WAZALENDO WA KWELI; HII NDO CHANNEL TEN YA KINA KIBONDE , NYANGASA N,K

ACT - NDO HABARI YA DAR

CHADEMA PELEKA SHMABA ARUSHA NA KILIMANJARO;

WANATAKA KUOKOA FISADI SABODO NA ACC YAKE YA USWISS NA MBOWE .

MASIKIO YOTE MWEMBEYANGA

is

Aiseee
 
Back
Top Bottom