Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

vikundi mpk vya sarakasi vimejiandikisha, waimba mashairi, watoto wa tmk watawakilisha , mfalme kama kawa afande sele; kwaya ya act na bendi ya act live.

Halafu kiongozi mkuu;

tunapelekea wananchi nchi nzima list ya wakwapuzi wa pesa ;

usikose njoo mapema chukua nafasi.
 
Nini cha kushangaza?
Watangaza nia wa ccm walikodi viukumbi na waliruka live stations zaidi ya moja.

Sio muda mmoja, unafikiri kwanin Membe aliamua kuruka saa 6 mchana?kwa sababu alijua kuanzia saa 10 anaanza January Makamba.

Hakuna lugha nyingine ya huu bali ni utoto tu, au kama alivyotafsiri The Boss Uke Wenza unawasumbua ndio maana wanaoneana wivu.
 
ata nchi za wenzetu, usingeweza kuona jeb bush na hillary clinton wanahutubia au ata lipumba na kinana wanahutubia live kwenye tv wakati mmoja.ni utoto tu, wakikuwa wataacha!

wameyavulia nguo ;waache- taarifa ya kikao cha wazee imeletwa saa saba na yerico-

mnyama kesha elekea kibra mwache
 
Kweli nimeamini zitto marehemu wa kisiasa munajaribu kumpamba kama marehemu maua kumringanisha na watu toka chama chake ili angalau jina livume la msaliti huu upuzi usio kuwa na kichwa

Tuwe wakweli tu, unalionaje hili la slaa baada ya ZZK kutangaza mkutano wao pale mwembeyanga? Hawatalala usingizi mwaka huu, Zito Mzito kweli.......
 
Ata nchi za wenzetu, usingeweza kuona Jeb Bush na Hillary Clinton wanahutubia au ata Lipumba na Kinana wanahutubia live kwenye TV wakati mmoja.Ni utoto tu, wakikuwa wataacha!

Chadema imeishiwa kweli, inafukuza kivuli chake na kuukimbia upepo wake chenyewe
 
Watu wa tume ya mawasiliano kesho baada ya mikutano hii mtuletee mrejesho hapa ni Telivisheni gani imeangaliwa na watu wengi zaidi.
Nasi kama wananchi tutatafakari kwa kina
Ni kesho pale ACT na zitto watakapokuwa mwembe yanga live kupitia Channel Ten na Dr Slaa atakuwa Live ITV kutoka ubungo plaza akiteta na wazee wa Dar es salaam

Kwa kuwa kupima watu wangapi wameangalia TV ni ngumu kwa mazingira ya Tanzania, basi ni vizuri Dr Slaa ahamishie mkutano uwanjani ili hiyo research ya wepi wameaenda mkutano upi tuifanye kirahisi just kwa kuangalia picha.

Utoto una raha zake,na huu wa chadema na ACT hauna tofauti!
 
Kweli nimeamini zitto marehemu wa kisiasa munajaribu kumpamba kama marehemu maua kumringanisha na watu toka chama chake ili angalau jina livume la msaliti huu upuzi usio kuwa na kichwa

Hahaha. Mwaka huu kazi mnayo.
 
chadema; wanapiga upepo rangi

hakuna rangi wataacha ona 2015

buried 2017 rasmi
 
Zito atabaki kuwazito na dactor atabaki kuwa factor kwa nyakati tofauti kila MTU anaumuhimu wake sio.
 
Chadema mambo mnayoyafanya kama sio chama kikuu cha upinzani mnatuaibisha
 
Ubungo plaza hauwezi kuwa wa hadhara! Ndiyo maana nashangaa

Unajua maana ya hadhara?maana yake umati au mkusanyiko wa watu.

Matangazo ya TV yanarushwa kwenye hadhara,kwa watu wengi.

Mkutano wowote unaoonyeshwa kwenye TV unaonekana kwa kila mtu aliyeswitch stesheni hiyo, hivyo ni mkutano wa hadhara,hadharani.
 
Haa ha ha kama futuhi hivi!

Hivi kwani Chadema tayari wameishaitoa ilani?maana mara ya mwisho alisema hakuna ilani ya kuwaambia wananchi au ni Zitto ndio kawafanya nao waruke hewani wakati huohuo?utoto!

Kaka kiukweli zitto anawapagawisha sana. Na amini usiamini tension kubwa ya wananchi iko kwa zitto kwani hawajui ataongea nini. Ama huyo mbabu hana jipya wakati wake umeshapita. Ivi kuna mtu hajui kama wanasiasa nao huwa wanaexpire? Kama wote mnajua hilo basi slaa kisha expire kisiasa.
 
Back
Top Bottom