Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

Shida ya ACT ndio hii, walipoona matangazo ITV kuhusu tukio la wazee wa DAR kesho na Dr.Slaa kuwa litakuwa live , wakapanick na kwenda kutafuta airtime CH10, tena kwa msaada wa Rost-tam .........
 
tunaomba na wale makamanda walioonewa bungeni wahudhurie hapo ubungo plaza waweze kusema maneno kidogo...
 
Inategemea kwa maoni yako, lakini kiukweli kuonyeshwa kwenye tv katika mikutano hii ya siasa siyo inayotafasiri kikao cha ndani au hadhara. Kama uliangalia kampeni za marekani, kuna mikutajo ya ndani ilikuwa inaonyeshwa kwenye tv. Hata hivyo karibuni tu tutakuwa na kikao kikubwa kabisa cha ccm ambacho pia kitakuwa cha ndani kuteua mgombea wao wa urais. Kikao hiki kitaonyeshwa kwenye tv. Bunge linarushwa kwenye tv, lakini bado ni kikao cha ndani! Kitu dhairi cha Mkutano wa hadhara hauna kizuizi cha mtu anayehudhuria!

Ndio maana nasema labda hujui kiswahili.

Kikao au mkutano kuwa wa hadhara sio lazima mkutano ufanyike uwanjani au nje ya jengo.Mkutano unaweza ukafanyika ata chumbani lakini ukawa ni mkutano wa hadhara.Mfano, mkutano ukafanyika ukumbuni, watu wamejaa ndani ya ukumbi na hakuna mtu anazuiliwa kuingia,huo ni mkutano wa hadhara.Mjadala wa Bunge ni mjadala ulio hadharani japo unafanyika ndani ya ukumbuni ndio maana umeona wakigombana mle ndani kwa sababu ipo hadharani.Lakini utakuwa mkutano wa ndani tu kama ujumbe wake unasikilizwa tu na watu wachache maalum na wengine hawaruhusiwi,mfano Bunge lisipoonyeshwa kwenye TV na waandishi wa habari wakaondolewaa basi unageuka kuwa mkutano wa ndani(kwa wabunge tu).

Hivyo unaweza ukawepo chumbani kwako lakini ukarushwa live kwenye TV ni mkutano wa hadhara,maana hufichi lolote,kila mtu anashuhudia unachosema.Mikutano ya ndani ya CCM haiwezi kurushwa kwenye TV, mkutano wa ndani ni maalum tu kwa watu walioko ndani, haupaswi kusikika kwa walio nje, mkutano wa kamati kuu wa kuchunja wagombea kuwa watano na wa halmashauri kuu kuchuja wagombea kuwa watatu itakuwa mikutano ya ndani(siri).Haitaonyeshwa kwenye TV.Ni mkutano mkuu peke yake ndio utakakuwa wa hadharani,utarushwa Live kwenye TV.Elewa hivi vitu.

Ile ya Marekani inaitwa town hall meetings, mikutano ya kwenye hall,ambayo sio ya kusikiliza tu hotuba lakini zaidi kuhojiana na mgombea/maswali na majibu ya papo kwa papo,ni mikutano ya hadhara.Usichanganye hivi vitu.Uzuri wa mikutano ya namna hii mgombea hana nafasi ya kudesa au kuulizia,inabidi awe fiti na anajua anachosema maana hawezi kujua ataulizwa nin.Wanasiasa wa kwetu mikutano ya namna hii ni wachache sana watakubali.
 
Shida ya ACT ndio hii, walipoona matangazo ITV kuhusu tukio la wazee wa DAR kesho na Dr.Slaa kuwa litakuwa live , wakapanick na kwenda kutafuta airtime CH10, tena kwa msaada wa Rost-tam .........
Hivi ni nani aliyeanza kutangaza uwepo wa mkutano live kwenye TV?ni Chadema ndio kakuupuka kuwaiga ACT kwenye hili.Ata mtoto mdogo analiona hili maana lipo uchi.
 
Hivi ni nani aliyeanza kutangaza uwepo wa mkutano live kwenye TV?ni Chadema ndio kakuupuka kuwaiga ACT kwenye hili.Ata mtoto mdogo analiona hili maana lipo uchi.

ACT wametangaza jioni hii baada ya matangazo ya CHADEMA ITV yalianza jana usiku, na function hii imeandaliwa muda na wazee wamekaa zaidi ya mwezi ,,.....Inawezekana Dr.Slaa anaenda kutangaza nia ......tazama ITV
 
ACT wametangaza jioni hii baada ya matangazo ya CHADEMA ITV yalianza jana usiku, na function hii imeandaliwa muda na wazee wamekaa zaidi ya mwezi ,,.....Inawezekana Dr.Slaa anaenda kutangaza nia ......tazama ITV

ACT wametangaza tarehe 26/06, wiki moja kabla ya Chadema. Unaweza kuona hapo jinsi Chadema wanavyofanya utoto.
 
Ndio maana nasema labda hujui kiswahili.

Kikao au mkutano kuwa wa hadhara sio lazima mkutano ufanyike uwanjani au nje ya jengo.Mkutano unaweza ukafanyika ata chumbani lakini ukawa ni mkutano wa hadhara.Mfano, mkutano ukafanyika ukumbuni, watu wamejaa ndani ya ukumbi na hakuna mtu anazuiliwa kuingia,huo ni mkutano wa hadhara.Mjadala wa Bunge ni mjadala ulio hadharani japo unafanyika ndani ya ukumbuni ndio maana umeona wakigombana mle ndani kwa sababu ipo hadharani.Lakini utakuwa mkutano wa ndani tu kama ujumbe wake unasikilizwa tu na watu wachache maalum na wengine hawaruhusiwi,mfano Bunge lisipoonyeshwa kwenye TV na waandishi wa habari wakaondolewaa basi unageuka kuwa mkutano wa ndani(kwa wabunge tu).

Hivyo unaweza ukawepo chumbani kwako lakini ukarushwa live kwenye TV ni mkutano wa hadhara,maana hufichi lolote,kila mtu anashuhudia unachosema.Mikutano ya ndani ya CCM haiwezi kurushwa kwenye TV, mkutano wa ndani ni maalum tu kwa watu walioko ndani, haupaswi kusikika kwa walio nje, mkutano wa kamati kuu wa kuchunja wagombea kuwa watano na wa halmashauri kuu kuchuja wagombea kuwa watatu itakuwa mikutano ya ndani(siri).Haitaonyeshwa kwenye TV.Ni mkutano mkuu peke yake ndio utakakuwa wa hadharani,utarushwa Live kwenye TV.Elewa hivi vitu.

Ile ya Marekani inaitwa town hall meetings, mikutano ya kwenye hall,ambayo sio ya kusikiliza tu hotuba lakini zaidi kuhojiana na mgombea/maswali na majibu ya papo kwa papo,ni mikutano ya hadhara.Usichanganye hivi vitu.Uzuri wa mikutano ya namna hii mgombea hana nafasi ya kudesa au kuulizia,inabidi awe fiti na anajua anachosema maana hawezi kujua ataulizwa nin.Wanasiasa wa kwetu mikutano ya namna hii ni wachache sana watakubali.
Unachanganya mkutano wa faragha na mkutano wa ndani!
 
ACT wametangaza jioni hii baada ya matangazo ya CHADEMA ITV yalianza jana usiku, na function hii imeandaliwa muda na wazee wamekaa zaidi ya mwezi ,,.....Inawezekana Dr.Slaa anaenda kutangaza nia ......tazama ITV

Dr Slaa aliishatwambia wiki mbili zilizopita kuwa hana ilani wala sera ya kuwaambia watanzania kwa sasa mpaka baada ya mkutano mkuu wa Chadema.Hivyo kumsikiliza asiye na jibu ni kupoteza muda tu, maana atarudia tu story za kila siku, ata kabla hajaongea mtu yeyote anayefuatilia siasa tayari anajua Dr Slaa atakayoongea,ni yale yale ya kila siku ukiongeza na suala la bunge la jana na leo.

Na kuhusu nia kwani nani hajui kuwa Dr Slaa ana nia ya urais toka 2010?ni utoto tu wa kisiasa ,mkikua mtaacha.
 
Unachanganya mkutano wa faragha na mkutano wa ndani!

Nimechanganya nin?unajua maana ya hadharani?-kwenye hadhara ya watu-yaan mkutano wa hadharani-Usiwe mbishi.

Mkutano wa ndani ndio mkutano wa faragha-mkutano wa faraghani yaan mkutano wa siri-watu walioko nje hawaruhusiwi kujua kinachoendelea.
 
Nimechanganya nin?unajua maana ya hadharani-kwenye hadhara-mkutano wa kwenye hadhara ndio mkutanpo wa hadhara.Usiwe mbishi.

Mkutano wa ndani ndio mkutano wa faragha!wa nje hawaruhusiwi.
Naam najua na pia najua kuwa siyo kila msemo unatafasiriwa moja kwa moja kwa maana ya maneno yanayotumika. Inabidi usaidiwe na BAKITA
 
Dr Slaa aliishatwambia wiki mbili zilizopita kuwa hana ilani wala sera ya kuwaambia watanzania kwa sasa mpaka baada ya mkutano mkuu wa Chadema.Hivyo kumsikiliza asiye na jibu ni kupoteza muda tu, maana atarudia tu story za kila siku, ata kabla hajaongea mtu yeyote anayefuatilia siasa tayari anajua Dr Slaa atakayoongea,ni yale yale ya kila siku ukiongeza na suala la bunge la jana na leo.

Na kuhusu nia kwani nani hajui kuwa Dr Slaa ana nia ya urais toka 2010?ni utoto tu wa kisiasa ,mkikua mtaacha.

Ss nyie wasaliti mnalialia nn?si kila mtu anafanya mkutano wake na sehemu yake tofauti?Najua mmeshaona hakuna mtu atayepoteza mda wa kumtizama msaliti (Zzk) na azimio lake la Tabora.
Dr.Slaa amewashika pabaya sna,lazima mkae chini nyie ndorobooooo!
 
Ss nyie wasaliti mnalialia nn?si kila mtu anafanya mkutano wake na sehemu yake tofauti?Najua mmeshaona hakuna mtu atayepoteza mda wa kumtizama msaliti (Zzk) na azimio lake la Tabora.
Dr.Slaa amewashika pabaya sna,lazima mkae chini nyie ndorobooooo!

Lugha za taarabu hizi,naona vidole juuu
 
Naam najua na pia najua kuwa siyo kila msemo unatafasiriwa moja kwa moja kwa maana ya maneno yanayotumika. Inabidi usaidiwe na BAKITA

Ukiwa hujui alafu hujijui kama hujui matokeo yake ndio haya.Desa nilichokufundisha hapo ili mwanao akikuuliza umpe jibu sahihi.
 
Back
Top Bottom